secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
HahahahAah,maybe...................
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahAah,maybe...................
HeheheHahahah
Kwa kweli inabidi waambiwe uhalisia wa mambo ulivyo ili wajiandae mapema kisaikolijia (na kiuchumi pia) kuikabili hali maana wanaamini mambo ni rahisi tuMimi siku nikipata ya kuongea na wanachuo nitawaambia ukweli wa kila kitu kwenye maisha...
Si nilitaka 50/50 haya kula chuma ikoNimeitazama hii picha nimejikuta naumia sana basi tu!
View attachment 3243875
Mi nadhani hoja yake ambayo imemfanya alie sio kama ambavyo umeipokea.Yani aliamini atasoma na ni lazima serikali impe ajira? Kwamba ni lazima ? Huu ni upumbavu mkubwa sana, Elimu itumike kutukomboa kifikra ! Hata aje Obama ama Trump awe Rais wa Tz hawezi kutatua ishu ya ajira kwa vijana !
Ni muda wa kuzitransform akili zetu, kusoma sio garantii ya kuajiriwa na serikali!Mi nadhani hoja yake ambayo imemfanya alie sio kama ambavyo umeipokea.
Yeye anahuzunishwa na maisha/hali inakoelekea (hana ajira) na kwenye mitihani /Usaili kuwania nafasi za Ajira anakutana na wale waliokuwa ni wanafunzi wake. Lakini kubwa zaidi tukubali-tukatae; umri kwa jinsia Ke ni mojawapo ya visababishi vikubwa vya Stress.
Exactly Yes.Ni muda wa kuzitransform akili zetu, kusoma sio garantii ya kuajiriwa na serikali!

Vitakusikiliza basiMimi siku nikipata ya kuongea na wanachuo nitawaambia ukweli wa kila kitu kwenye maisha...