Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Tatizo ni kuwa ukileta hii hoja jukwaani ( sizungumzii JF tu) kuna watu wataipinga kwa kigezo cha dini au tamaduni. Kuna watu walishafikia kuwa umri huu upunguzwe kufikia angalau miaka 14! Na wanaosema hivyo wana wajukuu wenye umri kama huu. Hawa wakuu wanapodai hivyo si kwa nia ya kuruhusu watoto waoane, la hasha! Hawa wanalenga vijibabu vyenzao. Sheria ibadilishwe ili mtu mwenye umri wa zaidi ya miaka kumi na nane asiruhusiwe kujamiana na mtu mwenye umri wa chini ya umri huo!
Hiyo ya UDSM sina comment. Hao hao ndiyo watu waliopongezana kwa kushinda Nobel Prize mwaka jana!!!!
Hiyo ya UDSM sina comment. Hao hao ndiyo watu waliopongezana kwa kushinda Nobel Prize mwaka jana!!!!