This is raw truth about Israel which everybody needs to know

Mbona nyie watanzani ni wazito sana kuelewa israeli haiwapendi nyie lakini mnavyojipendekeza sasa
 
Wala mimi si MuislamI am a truth teller.Kwa kuongeza I am a born again Christian
Huwezi kuzaliwa Christian and ukawa against Israel and ukabase kwa iblis na watumwa wake.. kwa lipi haswa linalokufurahisha kwa iblis? Uongo wao umeupenda? Hebu tutajie kitu kimoja tu chaukweli kuhusu waislam.. moja tu tafadhari
 
Hakuna mkristo mjinga mjinga ambaye ana jicontradict kwa kutumia maneno yake mwenyewe..

Useme hakuna wayahudi pale Israel ya sasa, unasema wayahudi wa kweli ni Hebrew hujui kuwa Hebrew ni lugha na sio watu kenge wewe... unasema wayahudi wa kweli wametapanyika na watakusanyika hujui hata maana ya Zion.. basi kuanzia leo tanbua Zion ndio harakati za kukusanyika ndio maana hata mafarasha wa Ethiopia wapo pale Israel wewe umelala bado amka harakati zimeanza 18 century wewe unadhani bado tu eti iwatakuja.. unajicontradict sababu hufuatilii news.. ndio matatizo ya kuishi karibu na misikiti mmasikilzishwa mawaidha na mashehe wasio soma wana elmu dunia.. akili zimelazwa
 
Kama hujui kwamba Hebrews ni watu sina haja kwa kweli kuendeleza dialogue na wewe,you are too ignorant.
 
Huwezi kuzaliwa Christian and ukawa against Israel and ukabase kwa iblis na watumwa wake.. kwa lipi haswa linalokufurahisha kwa iblis? Uongo wao umeupenda? Hebu tutajie kitu kimoja tu chaukweli kuhusu waislam.. moja tu tafadhari
We are not against true Israelis we are against Fake Israelis or the Synagogue of Satan who pretend to be Israelis.Hawa ndio wanao-waua Wapalestina wakidai ni Semites kumbe hawana hata tone la semitic blood.

Soma Revelation 2:9 na Revelation 3:9
 
Ninyi atheists/Freemasons mnao-toa watoto makafara sio matatizo?Mrudieni Mungu kabla dirisha la neema halifungwa.Mungu atakaposhusha hasira yake,mtatamani milima iwaangukie ili mfe,lakini hata kifo kitawakimbia.Mrudieni Mungu kabla hamjachelewa.
Wakati mambo haya mabaya uliyoyataja yatakapokuwa yanaupata ulimwengu wewe utakuwa wapi?
 
Wakati mambo haya mabaya uliyoyataja yatakapokuwa yanaupata ulimwengu wewe utakuwa wapi?
Mimi nimemkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu kwa hiyo nina ulinzi wa Mungu wakati wowote na katika mazingira yeyote.Karibu na wawe umwamini Kristo ili upate ulinzi wake.
 
Mimi nimemkiri Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yangu kwa hiyo nina ulinzi wa Mungu wakati wowote na katika mazingira yeyote.Karibu na wawe umwamini Kristo ili upate ulinzi wake.
Hujajibu swali langu
"Wakati mambo haya mabaya uliyoyataja yatakapokuwa yanaupata ulimwengu wewe utakuwa wapi?"
Au hujui utakapokuwa? au huna hakika?
 
Hujajibu swali langu
"Wakati mambo haya mabaya uliyoyataja yatakapokuwa yanaupata ulimwengu wewe utakuwa wapi?"
Au hujui utakapokuwa? au huna hakika?
Hatugombani,hii ni discussion,shuka be polite.

Kujibu swali lako,skijui wakati huo nitakuwa wapi,inawezekana nikawa nimekufa,nimelala kaburini au bado Niko hai..Whatever the case may be,in eternal life kwa kuwa nimezaliwa mara ya pili,nitakuwa na Bwana Yesu in the New Jerusalem.Kama niko hai Bwana Yesu atanilinda dhidi ya matukio yote hayo.

Karibu na wewe ili uwe assured of being with Christ in the New Jerusalem au akulinde kama matukio hayo yatatokea ukiwa hai.

Narudia,sihitaji kubishana,nimemaliza,take it or leave it.
 
Hizi consipiracy theory zinawapoteza wengi, hususani christian ambao wanatumia Maandiko with wrong interpretation. A born again Christian ana huruma kwa wayahudi(isael) na wayunani( wa mataifa mengine) pia.
Israel biblicall ndio born again christian, its not by birth but by faifh in Jesus Christ.
Hii ni propaganda ya chuki kwa mlango mwingine, wapo wanawachukia Palestians huo nao mlango wa uovu mwingine.

Unadhani chaos, vita mauaji yapo Middle East tu? Hapana Ulaya yapo, Asia, Afrika, allover the world.
 
Hata concept ya "Conspiracy Theory" hujui the why's.Watu kama ninyi ni kuwaacha tu,maana mmepotoshwa beyond repair.
 
Muslims ... na vita dhidi ya Israel kamwe mtakwama kila njia zenu ovu.
Sawa, kwa faida ya wengi, raia wa ISRAEL kwa misingi ya imani zao;

(a) 74% - WAYAHUDI
(b) 20% - WAISLAMU
(c) 05% - WAKRISTO
(d) 01% - WENGINEO
 
Nashindwa kukuelewa huu UHARO ume-copy kutoka sehemu nyingine na kutuletea hapa? Hapa kuna wamatumbi wenzangu wengi sana hutaki wajue UHARO wako huu unasemaje?
 
Wala mimi si MuislamI am a truth teller.Kwa kuongeza I am a born again Christian
Kwa hiyo umejificha kwenye kichaka cha Born again Christian? Pambana sana lakini lazima utaangukia pua tu.
 
Hapo ndipo unapoonyesha wewe ni Born Again Christian wa MICHONGO. wewe ni muumini wa mihadhara ya kijinga Sinagogi la shetani unalijua? Acha kudanganya watu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…