raj dull ah
Member
- Mar 29, 2013
- 31
- 6
Naomben ushauri kwa kila atakaesoma hii
Nina mdogo wangu ni mwembamba sana tunajitahid kumpa balanced diet lakin habadiliki, tumemfanyia chek up yuko poa kila kitu, jaman kwa anaejua tusaidiane kwa hili
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Nina mdogo wangu ni mwembamba sana tunajitahid kumpa balanced diet lakin habadiliki, tumemfanyia chek up yuko poa kila kitu, jaman kwa anaejua tusaidiane kwa hili
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums