This is Tanzania

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,959
Reaction score
24,935
This is tanzania

Weka kioja chochote kinachopatikana nchini na mwisho unamalizia na This is Tanzania.



-Takribani lita laki 2 za mataputapu zinanywewa kila mwaka na watanzania na inakadiliwa nchi yake kuelekea kwenye uchumi wa kati.

This is Tanzaniaaaaa.

-Nchi pekee kunakopatikana muhitimu wa chuo kikuuu mwenye GPA ya 32.

This is tanzaniaaa.


[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]


This is Tanzania Nimelewaaa.
 
Mwenye link ya kustream ibada ya GWAJIMA jumapili aniwekee hapa.

Proudly sponsored by
RUDI NYUMBANI KUMENOGA!
 
Takribani lita laki 2 za mataputapu zinanywewa kila mwaka na watanzania na eti nchi yake inaelekea kwenye uchumi wa kati.


This is Tanzaniaaaaa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…