This is The best of Kenya

Sammuel999

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
3,481
Reaction score
2,347
Iyo video ni motooo, sana nakumbuka aliwah toa track na jua kali zaman hivi ilikua yaitwa kwaheri,sina tatizo na sana kabisa, akomae tu game limekaza!!
 
Iyo video ni motooo, sana nakumbuka aliwah toa track na jua kali zaman hivi ilikua yaitwa kwaheri,sina tatizo na sana kabisa, akomae tu game limekaza!!
Nimeweka link hapo ya Kwaheri moto sana
 
Kuna huu wimbo umekua majanga kwangu, yaani mimi na familia yangu yote huwa lazima tunyanyuke na kuanza kuucheza kila ukianza. My kids have been teaching me the dancing styles and moves in the song Bazokizo by Collo

 
Kuna huu wimbo umekua majanga kwangu, yaani mimi na familia yangu yote huwa lazima tunyanyuke na kuanza kuucheza kila ukianza. My kids have been teaching me the dancing styles and moves in the song Bazokizo by Collo

Hamna kitu hapo
 
Huo wimbo wa Sanaipei mkali ila nashangaa kwa nini una views chache. Msanii akiungwa mkono nyumbani ndio anaweza kutoboa kimataifa, hamna muujiza sisi tukajua nyimbo zenu wakati hamzipi promo za kutosha.
 
Uzi mzuri ila mleta mada umezingua kutia kebehi na mazereuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…