aganza
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 1,450
- 3,153
Ni vizuriNafika mkuu.
Wakenya ndugu zangu wa karibu saana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuriNafika mkuu.
Wakenya ndugu zangu wa karibu saana.
Nadhani itakuwa ndo ngoma best tokea Kenya hata ipigwe wapi bado inabamba [emoji91] [emoji91] [emoji91]Jua kali anangoma flan hv ya ngeli ya genge....yupo chalii mmoja aitwa major,ile ngoma ya landlord[emoji28][emoji28]looh hua nacheka kile kiswahili chake Ila ilikua bonge la idea,yote tisa kumi ngoma ya sinzia ya nameless naipenda hadi kesho
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Msimsahao mercy masika
Ivi samba mapangala yupo ???
Kwanza ulishasikiliza ngoma zao hawa? Daby ..ukisikiliza kwa makini unaweza kuhisi soul inafloat on air kwa harmony waliyonayo...hatari saana.Elani - nikupende
Elani - kookoo
Hawa madogo wanajua hata sauti Sol wakasome.
Mi najitahidi niipende miziki ya Kenya lakini wapi nashindwa nipe mbinu brotherKwanza ulishasikiliza ngoma zao hawa? Daby ..ukisikiliza kwa makini unaweza kuhisi soul inafloat on air kwa harmony waliyonayo...hatari saana.
Honestly sina taarifa muhimu kuwahusu but this is the one of the musician from Kenya whom I regard them as "instrument of music" from Kenya.
Never knew Octopizo is such hilarious!!
La, huyu naye mwingine! Ila wanamitindo ya kukaribianaOctopizo ndio kingkaka?
Mbona umetia Kijani kwenye kucha miguuni? Unapenda kijani??Octopizo ndio kingkaka?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mbona umetia Kijani kwenye kucha miguuni? Unapenda kijani??
Nyamaza nktOctopizo ndio kingkaka?
MfyuuuuuuuuuuuhNyamaza nkt
Sammuel999....hiyo avatar yako is an insult to the ueropa cup holders [HASHTAG]#thegreatmanchesterunited[/HASHTAG]Nyamaza nkt
Nawajua saana Elani.Kwanza ulishasikiliza ngoma zao hawa? Daby ..ukisikiliza kwa makini unaweza kuhisi soul inafloat on air kwa harmony waliyonayo...hatari saana.
Honestly sina taarifa muhimu kuwahusu but this is the one of the musician from Kenya whom I regard them as "instrument of music" from Kenya.