This is the first Tanzanian product i have seen and liked in kenya

This is the first Tanzanian product i have seen and liked in kenya

Sammuel999

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2016
Posts
3,481
Reaction score
2,347
Nimeinunua Naivas Nakuru didnt juu ilikuwa imeandikwa AZAM

Iko fyam !!! WHO KNEW [emoji15] [emoji15] [emoji15] !?
 

Attachments

  • 1475227852055.jpg
    1475227852055.jpg
    30.6 KB · Views: 61
tuusan nasema sijawai ona bidhaa za TZ kenya hii ndio mara ya kwanza nimeona bidhaa ya TZ kenya nkanunua na nika penda .....sisemi kuwatani waTZ ....JUST STATING SOMETHING
 
That is the best product ever... I usually take two or three of them each day, and they help me to stay active...
 
I know .....nimeiona tu alafu some supermarket attendandt akaniambia hiyo ndio best energy drink watu hawajaitambua bado nkabeba nne ....ziko poa sana hehehe
usinywe Zaidi ya mbili kwa siku na pia soma masharti mengine kabla hujanywa energy drink
 
Basi sawa, hebu nitafutie gs/ german shephard huko, na unijulishe nahitaji sana
Njoo utapata Nakuru pahali panaitwa Lanet They grow german shephard and they are usually trained by army personel just past pipeline!
 
Back
Top Bottom