This is the level of dedication we expect from you!!

This is the level of dedication we expect from you!!

hahahaaaaa, JF bana naipenda sana, niko tayari kunywa sumu kwa ajili ya JF!.
unashangaa mpwa?, JF brings pipo tugeza.

eeeh, tugeza sana tu mbona!!! jamani Goef mweee!!!! nimesema kama mlimsahau mwenzeni kwenye fiesta mrudi mkamwangalie mmwamshe ...
 
tukutuku lilikosa breki likapitiliza kwenye kontena la chuichui mabaunsa wakampa adhabu amalize kreti 3 peke yake, yuko na dripu za maji anaflashi chuichui mwilini, si nchezo tukutuku lilikosa breki za mbele!.

mwee kaniambia ananafuu yupo njiani
 
Back
Top Bottom