This is Utopolo ni kawaida yao kuishia hatua ya makunndi

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Utopolo ni kawaida yao kuishia hatua ya makundi, hapo waliburuza mkia na wanadaiwa goli 9.

Ule msimu wao wa ngekewa waliobahatisha kwa kukutana na wagonjwa akina Malumo na Rivers walijiona na wao wameshakua wakubwa wakaenda kchwa kichwa wakala za uso wakafirumushwa kwa aibu

Sindano,uchawi na kununua mechi hakujawai kuipa ubora timu yoyote dunia hii zaidi ya kukumbana na fedhea kama waliyokutana nayo utopolo
 
Hivi akitokea mtu akakuuliza lengo hasa la kuanzisha huu uzi wako, utakuwa na majibu sahihi kweli!! Au ni kwa sababu upo kwenye umri sahihi wa foolish age?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…