This is why all mama mean nothing to some people!

AMINATA
She got pregnant with my dady who was a married man to someone else....my daday never dd her wrong.
I was young those days but I remember my dady was a caring man coz he used to come and visit me and her.But it reached a atime sikumwona tena my dady na muda si muda my mom got married.
Namwuliza na hudai my dady was a business man,anajua alikufa but hakufahamu ndugu yake hata mmoja.
 
The sad truth is....not every woman can /is meant to be a mother kama ambavyo sio kila mwanaume anaweza/takiwa kuwa baba.

Binafsi sitafsiri ubaba na umama pale watu wanapozaa kwasababu kile kitendo tu hakitoshi kumfanya mtu mama/baba kiundani...kuzaa kunamfanya mtu mama/baba kwa jina na sio vinginevyo. Umama/ubaba wa kweli unakuja pale mtu yeyote yule hata kama sio mama/baba mzazi anapochukua jukumu la kumlea mtoto mikononi mwake na kulitendea haki kwa kuhakikisha anapata mahitaji yake. Zaidi ya hapo ni ubatili mtupu!!

Eiyer pole kwa kukosa mama wa kweli aliyejishughulisha na wewe...ila shukuru sana Mungu kwamba ulijaliwa baba wa kweli. Kama wote wangekua hivyo sasa hivi ungekua unalia kilio kingine!!
Be blessed...and RIP to your father!
 
Thanx much Lizzy,i real apriciate that,thanx again!
 

WoS nashindwa kukubaliana na hapo penye red ...hamna ukweli wowote kwamba huyo mama ''ni mmoja wa wale wanaosema hawawezi kuvumilia ndoa zisizo na furaha '' kwasababu mtu kuachana na ndoa yenye mateso/isiyomfurahisha/mtosheleza haina maana kwamba ndio na watoto anawa-abandon. Wanawake wengi tu wanaachana na waume zao na kuondoka na watoto wao au atleast wanahakikisha wako involved hata kama wataacha kwa baba. Huyo mama hakua interested na mwanae and that's that. It has nothing to do with how she viewed her marriage or how badly she wanted to get away from it.
 
Wazazi wanatakiwa wajue kuwa mangumi yao na mambo ya fujo hayawahusu watoto.Wanasababisha sida sana kwa watoto!
 
Ur story Reminds me one of my friends mama yake anamchukia to the extent akikuhadithia vituko vya mamake km haujui kuhold mchozi utakutoka tu. Sometimes inasemekana wanawake ni watu wenye huruma ila sio wote jamani, matukio mengi ya hatari dhidi ya watoto nahisi wanawake wanahusika kwa 80%! I can imagne how ur feeling, cuz once in my life my mom fail to understand &trust me on somethng, nilijisikia vibaya sana. Chukua hyo ni changamoto ya kukufanya uwe mume na baba bora kwa familia yako. Be Blessed Eiyer
 
Wazazi wanatakiwa wajue kuwa mangumi yao na mambo ya fujo hayawahusu watoto.Wanasababisha sida sana kwa watoto!

Ni kweli kabisa. Inasikitisha zaidi pale wazazi wanapoachana halafu anaebaki na watoto kati ya baba au mama anapomnyima mwenzake haki ya kuwaona watoto kwasababu zao binafsi. Hii kitu inakera sana na watoto hawatendewi haki na kunyimwa mapenzi ya mama/baba.
 
ww naww kaa kimya tena upitiliye mbali ,mana hapa wote ni wapita njia hakuna ajuaye siri zaidi ya huyo mama na marehemu mumewe so sote hatuwezi kusema lolote zaidi tuna guess tu tatizo lilikua nn hasa
huyo ni mama yake kwanna asiongee naye kama ww huwezi kuongea na mam yako chochote mm naweza kuongea nayy chochote na kumuuliza chochote kila nitakacho coz she is ma momy an ma best friend at da same time
ndio mana nimemshauri ongee naye tu asiogope!!!
na kusema marehemu wawatu huwez jua nayy alikua na mapungufu gani ndio mana nimesema wawili hao ndio wanaujua ukweli tu basi
na kuhusu unafiki sio wote ni wanafiki .......mm binafsi sio mnafiki hata kidogo ndio mana nimesema kwann asimuulize kuliko kulalamika tu mana huo ndio unafiki wenyewe sasa kama hujui loh!
mshaurini mwenzenu kuliko kumfanya azidi kumchukia mama yake loh!
mtaona niko wrong in ur eyes but deep inside ur heart u know am 100%right
 
Pole kwa yaliyokutokea, ni maisha ndugu yangu!! Upande wangu, nimebarikiwa mama ambaye sina zaidi ya kusema laa namwombe Dua kwa Mungu aendelee kumpa maisha marefu..She's the best thing in my life!!
 
nimelelewa. Na mama, baba yangu yupo ana uwezo na hajali lolote kuhusu maisha yangu. Simchukii baba wa wababa. Nilikubaliana na hali halisi, ingawa hana umuhimu kwangu namuheshimu. Imagine baba aliyeshindwa kuhudhuria hata harusi yangu

Mama yangu ndo kila kitu, kila hatua ya mafanikio nipigayo napata moyo kwa sababu ananisapoti.

Ila sina kinyongo nae. Iam happy with my life. Namuombea Mungu ambariki kwenye maisha yake.

Inawezekana wewe una kinyongo na mama yako, let it go. . Haitakuuma na utaheshimu wanawake. Kosa la mmoja lisikufanye ujenge chuki nao. Life is too short
 
AMINATA,ni bora ukatili wa baba kuliko wa mama,asikwambie mtu,usikie kwa jirani tu,mama ndo anakua muda mwingi na watoto,hebu fikiria anapokuwa mkatili inakuaje?Au anakimbia!
pole sana ila nasisitiza ongea naye koz she is ur momy ok
mulize tu kwan waona tatizo nn kuuliza loh! we mtoto wakiume jikaze ndio uume huo au hujui i wish ningekueko nikusaidie
 
Yaani mama Tuli we acha tu,inauma sana sisi watoto tunapokua victim wa ukatili huu!My be its a purpose of life!!
 
Good 4 u Belinda!Love her and take a gud care of her!!
 
BADILI TABIA,simkukii wala sina kinyongo nae.Hapa nazungumzia tabia hizi nikatumia mimi mwenyewe kama mfano,siwadharau wanawake.I knw there is a lot of great mama an dady out there,i don't blame all of them!
 
Usemayo kaka ni kweli kabisa mathalan mim mwenyewe siku wahi kuwaza wala kuamin kuwa mama yangu niliyempenda kuliko kuwa ananipenda. Mpaka na maliza chuo nilibaki kuamin kuwa mama hanipendi. Ni baada ya kumaliza chuo ndipo nilipojenga ukaribu naye na kugundua halikuwa kosa lake bali la baba aliyempa mimba na kumtelekeza akiwa hajui la kufanya. Hasira hizo zilimfanya upendo kwangu uwe nusu nusu maana nilimkumbusha mwanaume mmoja katili sana.. Mungu amkumbuke mama yangu huko aliko. Nampenda sana mama yangu amenifanya niwe mtu ingawa kwa kupitia mkono wa chuma.
 
BADILI TABIA,simkukii wala sina kinyongo nae.Hapa nazungumzia tabia hizi nikatumia mimi mwenyewe kama mfano,siwadharau wanawake.I knw there is a lot of great mama an dady out there,i don't blame all of them!
 
Pamoja na kutokuonyesha mapenzi yake kwangu ya dhati tofauti na kwa wadogo zangu ambayo ni wa kwenye ndoa yake.. Maana baba yangu alikuwa mkatili kuliko, na mbaya sana huwezi kumpa mimba mwanafunzi afu ukimbie huu ni uaji.. Mama yangu alinisomesha kwa tabu, alinipa mahitaji yangu ya dhati. Afadhari alificha mapenzi yake kwangu maana wadogo zangu kutokana kupendwa huku imekuwa kazi sana wao kukazana na shule.. Yaani mama ameondoka nikiwa bado nna deni juu yake... Ndio wapo wanawake makatili, yote hii ni maisha hebu fikiri mwanamke anaachwa akiwa na watoto 3 anafanyaje mmh? Na hawa wako wengi sana mijini na vijijini. Mama yangu alikuwa kwangu askari mpambanaji, shujaa, nilimpenda,ntapenda daima hata kama simuoni.. Baada ya Mungu na Mwokozi wangu Bwana Yesu zaidi ya mama hakuna Mwingine nimpendaye.
 
AMINATA,niongee nae halafu?Nimemsamehe,pia faham lengo la kuleta huu uzoefu wangu hapa ni kutusaidia kujadili watu wenye tabia hizi mimi nikiwa kama mfano na si zaidi ya hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…