Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Naemjua ni dada,juzi kati kishaolewa na mbongo,yan demu hataki hata kuisikia kenya,ana mama wa hiyari wa kibongo na ndio familia yake kwa sasaApelekwe kwa vyombo husika, labda awe ameoa hapa anaweza kusingizia kuwa ni ardhi ya mkewe.
Acha hizo longolongo, njoo tuendelee na mada iliyoko mezani.
An isolated incident doesn't reflect the whole country at large.
Tuige BOT ya Nairobi Express Road yenye Toll Fee ili kuondoa foleni za magari
Nimesikiliza sasa hivi KBC-Kenya Broadcasting Corporation ambapo wajumbe wa jiji la Nairobi walikuwa wakipokea ripoti ya ujenzi wa Nairobi Expressway, barabara ya kwenda Mombasa kutoa magari nje ya Jiji la Nairobi. Barabara hii inajengwa na mkandarasi mchina aliyetafuta mwenyewe fedha za...www.jamiiforums.com
South Afrika imepata Uhuru 1994 lakini watarudisha ardhi yao kwa wananchi muda sio mrefu, ninyi wapumbavu miaka 56 bado mnazunguka kulalamika wakati wazungu wanakula raha.Tuige BOT ya Nairobi Express Road yenye Toll Fee ili kuondoa foleni za magari
Nimesikiliza sasa hivi KBC-Kenya Broadcasting Corporation ambapo wajumbe wa jiji la Nairobi walikuwa wakipokea ripoti ya ujenzi wa Nairobi Expressway, barabara ya kwenda Mombasa kutoa magari nje ya Jiji la Nairobi. Barabara hii inajengwa na mkandarasi mchina aliyetafuta mwenyewe fedha za...www.jamiiforums.com
Inakuwasha nini? Shughulika na mapanga ya kuwakatakata wapinzani.South Afrika imepata Uhuru 1994 lakini watarudisha ardhi yao kwa wananchi muda sio mrefu, ninyi wapumbavu miaka 56 bado mnazunguka kulalamika wakati wazungu wanakula raha.
Inakuwasha nini? Shughulika na mapanga ya kuwakatakata wapinzani.
Na akili pia ya kukuletea mawazo ya Watanzania wenzakoKweli nimemini ya kuwa wewe umebakiwa na akili ya kuvuka barabara n kurudi nyumbani pekee.