This is why Millie Odhiambo cannot be arrested despite insulting Uhuru

Uhuru pia alimtusi 2 way street!!
 
I wish Tanzanian MPs would have the balls to criticize JPM
This will never ever happen in Tanzania .
We don't have freedom of speech. I'm telling you someone will get 20 to life or even "mistrials disappear" if try anything like this.
 


Hayo ni mawazo yako mgando na ccm wenzio , sisi ukawa tunampa heko huyo mama, hakuna wa kuogopwa duniani zaidi ya Mungu
 
Wazee naona wanazidi kumuandama SIMBA LA KIKE!!!



Mwenyekiti wa Baraza la wazee wa Agikuyu Bw Wachira Kiago amemtaja Bi Millie Odhiambo kama mtoto mpotevu aliye na mkondo mrefu wa kimaisha kujinusuru kutokana na ukaidi na utundu wa bure na ambao haumwongezei heshima miongoni mwa wengi wanaoelewa wazi kuwa heshima si utumwa.


BARAZA la wazee wa Agikuyu Jumatano liliwataka wenzao kutoka Wajaluo limwandalie kikao cha dharura mbunge wa Mbita Bi Millie Odhiambo ili
kumkanya dhidi ya kutukana “wanaume wa jamii zingine.”

Kupitia mwenyekiti wake Bw Wachira Kiago, limesema kuwa “tumefedheheshwa sana na tabia ya mwanamke wa asili ya Luo kwa jina Bi Millie Odhiambo ambaye Jumanne alimtukana rais Uhuru Kenyatta kama mtoto wake mdogo.”

Bw Kiago akiongea Mjini Murang’a aliteta kuwa Rais Kenyatta kwanza ni mwanamume wa kijamii, mume na baba na ambaye kimila, hafai kutukanwa
hadharani na wanawake.

Bw Kiago alisema ni aibu kubwa kwa mwanamume yeyote kutukanwa hadharani huku ikiwa wazi kuwa bibi na watoto wake watapata ujumbe huo
wa matusi ukielekezwa kwa kiongozi wao wa familia.

“Hata ikiwa ungetaka kuonekana mtu shupavu ambaye hana uoga, tekeleza uhasama wako dhidi ya unayemchukia kwa njia za kistaarabu. Fanya
kampeni dhidi ya Rais ili asichaguliwe na wafuasi wako na katika ukumbi wa bunge, pinga mikakati yake kupitia mijadala iliyo na umakinifu wa busara ya maneno. Ufasaha wa lugha wa Bi Odhiambo ni aibu tele na ambayo inafaa kujadiliwa na wazee wa kwao,” akasema.

Hata hivyo, Bw Kiago alisema kuwa “ikiwa hakuna shida kwa wazee hao kumpata mwanamke wao akitukanana hadharani, basi waseme hivyo ili
wengine wanaodumisha nidhamu ya usemi katika hotuba kwa marika mbalimbali wakae wakijua Bi Odhiambo alikuwa na baraka za wazee wa
kwao."

Mila

Bw Kiago alisema ikiwa ni mwanamke wa Mlima Kenya ambaye alikuwa amenaswa akitoa matusi kama hayo ya Bi Odhiambo kwa mwanamume mwingine yeyote kutoka jamii yoyote ile, “kufikia sasa tungekuwa tumetoa masharti ya kutii na kumwadhibu kwa mujibu wa mila zetu.”

Alisema kuwa hata ikiwa wanawake wamejiangazia kama walio huru na walio na haki yao ya kumenyana kisiasa, “hakuna popote wameambiwa
kuwatusi wengine ni mojawapo ya haki hizo.”

Alimtaja Bi Odhiambo kama “mtoto mpotevu aliye na mkondo mrefu wa kimaisha kujinusuru kutokana na ukaidi na utundu wa bure na ambao haumwongezei heshima miongoni mwa wengi wanaoelewa heshima si utumwa.”
 

I still disagree, and with due respect, lets agree to disagree without invoking emotions.
Media plays a major role in the society, we depend on the fourth estate to inform ourselves of the stuffs happenings all over. Meaning it's a very powerful, it can build and destroy a nation within one day. So, with so much power, there is need to have control and responsibility.

Am sure you'd be grossly offended if when seated with your family watching TV and suddenly they feature rowdy young men slicing some victims with machetes and blood spurting and splashing all over the screen, all in the name of media freedom to air anything.

Kenyans, we are taking this freedom of expression way too far. And, I beg to be understood, for me it doesn't matter where it's coming from. Am an ardent supporter of president Uhuru, come 2017 I will wake up early to vote for him. He is still the best for my expectations despite some shortcomings. But there are times he allows emotions to engulf him and he ends up insulting some people, such moments I normally feel like hiding under the table with embarrassment. Especially when it's aired live on TV, I feel so bad seeing my children watching their own president insulting someone on national TV. Kibaki used to do it too.

So, it's not like am reacting simply because it came from an opposition MP, but am simply calling for media to understand the country belongs to them too. We have a generation to hand over the nation to, right now kids all over the estates are echoing Millie Odhiambo's insults word by word.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…