This is why Millie Odhiambo cannot be arrested despite insulting Uhuru

This is why Millie Odhiambo cannot be arrested despite insulting Uhuru

media blocking sio solution! media is performing its duty. they wiill give you the good and the bad. you are aiming the gun at the wrong target. shida imemekua tangu serikali za awali lakini hii ya jubilee ikazidi. breaking the law with impunity. akitangulia rais mwenyewe. he insults raila in central what do you think raila followers will feel and you know each camp has fanatical followers!! pili constitutional order the current government doesnt give a hoot, sana sana kama the constitution is not on their side, zaidi ya hayo they have the greatest comtempt for the courts ata Moi time koti waliheshimu, these 2 fellows have no time for courts and they publicly state so!! what do you think the common mwananchi will get from that message!!

The media has a responsibility, don't just air everything for the sake of it. Whether it's the president insulting people or otherwise. For goodness sake, we have a society to run, we have families and children to hand over the country to, life doesn't revolve within and around hate and insults and politics.

Am giving you a task today, watch the news of every Kenyan station, you will notice the first six news items are all about violence, hate, anger etc. In fact we don't even need Alshabaab anymore, we seem to be doing ourselves more harm than what those guys would have inflicted on us. Any other good stuffs happening in the country are featured much much later in the news, same goes to print media, until you peruse deeper into the newspaper is only when you will see some item about an investor or anything good in the nation.

The media has chosen to blacklist good news in the country....

Personally I don't care about who insults who, for all I care you can call Uhuru names, or kuingiza Millie Odhiambo vidole in the precinct of parliament, or Uhuru insulting Raila, but I would rather some of these dirt are filtered when aired while am seated with my kids watching news.
 
The media has a responsibility, don't just air everything for the sake of it. Whether it's the president insulting people or otherwise. For goodness sake, we have a society to run, we have families and children to hand over the country to, life doesn't revolve within and around hate and insults and politics.

Am giving you a task today, watch the news of every Kenyan station, you will notice the first six news items are all about violence, hate, anger etc. In fact we don't even need Alshabaab anymore, we seem to be doing ourselves more harm than what those guys would have inflicted on us. Any other good stuffs happening in the country are featured much much later in the news, same goes to print media, until you peruse deeper into the newspaper is only when you will see some item about an investor or anything good in the nation.

The media has chosen to blacklist good news in the country....

Personally I don't care about who insults who, for all I care you can call Uhuru names, or kuingiza Millie Odhiambo vidole in the precinct of parliament, or Uhuru insulting Raila, but I would rather some of these dirt are filtered when aired while am seated with my kids watching news.
I agree, and then both uhuru and raila camp followers should refrain from this vicious war of words with each other. In cafes, homes, at work alot of people throw vicious jabs at others perceived to belong to the "other " side. The kids hear these things and also begin to "other" each other. Just the other day i had to break up a fight between 2 boys of age 10 who said nasty things to each other that centred on the country's politics. This is what happens when you talk nasty things about the"other" group from the perceived comfort of your home. Children will learn what you do, not what you tell them to do.
 
Huo niujinga
Matusi kwa Rais yanasaidia nini!!
Yule anahusika vipi na hoja yake!!!
Haya mambo yakusema katiba katiba halafu watu wanapata nguvu yakutukana mpaka Rais!!!
Huwezi kumpinga mtu bila kutukana!!!

Huyo mama kaniboa kiukweli!!!

Sasa vijana wameamua kumdhalilisha mitandaoni !!!
 
Whether she can be arrested or not, is neither here nor there. What should be debated is surely what has become of our society, that we have our children watching a full member of parliament spewing insults on a national TV like that in the name of 'bold woman' whatever that means. Whether it was directed at Uhuru or any other person for that matter. Our social fabric is torn i

I do enjoy the freedom of expression we have in our country, I personally participated in agitation for the same, back in the days when we rioted on the streets and got gassed up in the 90s. It wasn't for nothing, we are the best democracy today in the whole of East and Central Africa. But sometimes we take it way too far in the name of exercising it.

I would rather the media blacked out those insults, right now watching and reading through the social media, guys are insulting each other like crazy. Drums of war and hate all over.

Safi kabisa
Kutukana sio suruhisho la matatizo yako,
Unapo kuwa mbunge wewe ni tegemezi kwa Taifa
Wewe nikioo cha Taifa
Unatukana live, tv zina rusha ujinga huo!!!!
Hawajui ni hatari kwa Taifa
Kuelekea kwenye uchaguzi!!

Halafu mijitu isiyo tumia akili inampongeza!!!

Hili tatizo ndio shida kwa Tanzania,
Watu wakitukana hovyo
Eti wanapata kick na kuonekana mashujaa!!
Huyu dada kumtukana Rais hivyo
Ashukuru huko huko kenya
 
Mhhhh ndio maana Iddi Amini Dada alisema " There's freedom of speech but i cannot guarantee freedom after speech "
Sema kwa sababu Uhuru ni Msela basi akipita Jamaica anapunguza stress zake hatomfanya huyo mama kitu
Amevuka mipaka huyo mama
 
Ya babu seya tu hadi leo.yupo lupango.sembuse huyu angekuwa huku kamtukana faru.john kudadeki!!
Miss mbuja unaonekana ni mcheshi, na mwenye tabasamu murua hasa kwa kijana shupavu na jasiri kama Game over[emoji39] [emoji39] [emoji39] ,
Wewe si jeuri kiburi kama huyo mama wa kikenya. Nakupenda bure![emoji3]
 
Miss mbuja unaonekana ni mcheshi, na mwenye tabasamu murua hasa kwa kijana shupavu na jasiri kama Game over[emoji39] [emoji39] [emoji39] ,
Wewe si jeuri kiburi kama huyo mama wa kikenya. Nakupenda bure![emoji3]
Wanamuita eti Simba lakike!!!!
 
Wanamuita eti Simba lakike!!!!
Ufala tu..
Ana bahati huyo mama yupo Kenya, viongozi wao ni utoto na masihara tu upstairs, kila jambo wana take easy.
Hapa bongo angenyea debe huyo,
Hata katika maisha yangu ya kawaida mtu akiniletea hizo habari lazima tuburuzane korotini, sembuse kwa president.
 
Ufala tu..
Ana bahati huyo mama yupo Kenya, viongozi wao ni utoto na masihara tu upstairs, kila jambo wana take easy.
Hapa bongo angenyea debe huyo,
Hata katika maisha yangu ya kawaida mtu akiniletea hizo habari lazima tuburuzane korotini, sembuse kwa president.
Unajua hawa hawajui kuwa hii ni hatari kuelekea kwenye uchaguzi
Inaweza vuka mipaka ikaleta taabu
 
Miss mbuja unaonekana ni mcheshi, na mwenye tabasamu murua hasa kwa kijana shupavu na jasiri kama Game over[emoji39] [emoji39] [emoji39] ,
Wewe si jeuri kiburi kama huyo mama wa kikenya. Nakupenda bure![emoji3]
Asanteeeeee xmass njemaaa mkuuu
 
Back
Top Bottom