This map shows the most dangerous countries in the world for tourists

This map shows the most dangerous countries in the world for tourists

Hivi unajua Tanzania is listed among the countries with unhappiest people in the world..... Jiulize inakuaje wakati huwa mnajidanganya kuwa wastaarabu, mkae mkijua kwamba mnafahamika sana kwa unafiki wa kung'ata na kupuliza.
Unhappy people are the most people with bitterness, hate halafu mbaya zaidi huwa mnaorodheshwa kuwa nchi maskini kiwango cha kutupwa, combine poverty, bitterness and unhappiness.

Haya hizi hapa taarifa za utafiti wa kisayansi, sio kwa maneno yangu.

The least happy nations: Syria, Tanzania, Burundi and the Central African Republic. The U.S. ranked 14th on the most recent rankings average.
World's Happiest Country Rankings Released
so Kenya being at position 112 out of the 155 is a good thing?? You have to take responsibility for your own action..Sit down and resolve your issue like man instead of pointing finger in every other neighbour except yourselves...Disrscrimination of any kind wont help you reaching your goals as unified kenyan.....
 
Hivi unajua Tanzania is listed among the countries with unhappiest people in the world..... Jiulize inakuaje wakati huwa mnajidanganya kuwa wastaarabu, mkae mkijua kwamba mnafahamika sana kwa unafiki wa kung'ata na kupuliza.
Unhappy people are the most people with bitterness, hate halafu mbaya zaidi huwa mnaorodheshwa kuwa nchi maskini kiwango cha kutupwa, combine poverty, bitterness and unhappiness.

Haya hizi hapa taarifa za utafiti wa kisayansi, sio kwa maneno yangu.

The least happy nations: Syria, Tanzania, Burundi and the Central African Republic. The U.S. ranked 14th on the most recent rankings average.
World's Happiest Country Rankings Released

hapo sasa ndiyo tunakuja kwenye suala la kuelewa. Mimi hayo yoote nimeyasoma na kuyajua. lkn Mungu alichonijalia siyo kusoma tu maandishi, bali pia naitafakali kwa kina. hivi kwa akili yako unaweza kuweka Syria Somalia na Tanzania kundi moja halafu na wewe unaamini taarifa hizo na kutuletea watu tuliosoma tena vizuri upumbavu huo. yaani hata kujiongeza kidogo tu unashindwa. unasoma report yenye kina Somalia Afghanistan Libya na Tanzania ndani ya kundi moja halafu unatoka kama zuzu unakimbia huku na huku ukichekelea si ujinga huo.

nenda kasome shule tena ndo uje kujadili na mimi.
 
hapo sasa ndiyo tunakuja kwenye suala la kuelewa. Mimi hayo yoote nimeyasoma na kuyajua. lkn Mungu alichonijalia siyo kusoma tu maandishi, bali pia naitafakali kwa kina. hivi kwa akili yako unaweza kuweka Syria Somalia na Tanzania kundi moja halafu na wewe unaamini taarifa hizo na kutuletea watu tuliosoma tena vizuri upumbavu huo. yaani hata kujiongeza kidogo tu unashindwa. unasoma report yenye kina Somalia Afghanistan Libya na Tanzania ndani ya kundi moja halafu unatoka kama zuzu unakimbia huku na huku ukichekelea si ujinga huo.

nenda kasome shule tena ndo uje kujadili na mimi.

Kama ulienda shule utasoma na kuelewa kwanini mumewekwa kwenye kundi moja na hao.
 
Kama ulienda shule utasoma na kuelewa kwanini mumewekwa kwenye kundi moja na hao.

jibu ni hili
asiyesoma magazeti (na machapisho mengine) ni mjinga lkn anayesoma magazeti (na machapisho mengi) na kuamini kila kitu anachosoma ni mjinga hata zaidi.
 
Mngekuwa na roho safi msingekuwa msitari wa mbele kuvunja former EAC. Uzuri wa hiyo roho nzuri unayodai kuwa nayo iko wapi?
Na kuzuia vitu vyote pia kuwanyang'anya mali zao watanzania waliokuwa kwenye jumuia upande wa Kenya wamerudi wengine wakiwa wamerukwa na akili kwa kunyang'anywa mali zao, hovyo sana hawa jamaa sijui roho mbaya wanafundishwa shule haiwezekani wote wawe na tabia moja

cc: MK254
 
hebu thibitisha madai yako. coz you thrown to us a very serious allegation.

pili Tanzania tunaelewa umuhimu wa amani na majirani na umuhimu wa amani ndani ya nchi jirani. hatuwezi piga hatua thabiti za kiuchumi ikiwa tumezungukwa na majirani ambao hatuelewani nao pia nchi zao ziko katika hali ya suspense kama ilivyo Kenya. hiyo haina faida kwetu. ni hasara na hatari sana. amani yenu ndiyo amani yetu. leo hii nchi yenu ikigeuka kuwa Somalia huku kwetu itakuwa shida sana maana itabidi tubadili namna ya kulinda mpaka wetu na nyie. si unaona jinsi mpaka wenu na Somalia ulivyo na usalama mbaya? au Libya sasa ilivyo usharoba wa wahamiaji haramu na magaidi wanavotumia kuingia Ulaya??
wazungu wanajilaumu sana but it's too late.
hivyo tunataka muwe na amani ili nasi tuwe na amani. you are our bafa zone. cushioning anything from Somalia.

sema shida mliyonayo ni kwamba a lot of you are half minded. you can't the consequence of your actions. hayo mnayofanya sasa mnayapandikiza bila kujua kwa young generation. mnaweka mambo wazi hata ambayo hampaswi. matokeo ni mgawanyiko.
acha niishie hapo.
Akikuelewa nistue maana hawa akili zao wazijua wenyewe
 
Roho mbaya sana lakini sijui tulitegemea nini kutoka kwa wala albino. Inahitaji roho nyeusi sana kuweza kumchinja mwenzako si kwa hasira lakini, kwasababu ya kitoweo tu.
Ila Mungiki wana roho nzuri
 
Na kuzuia vitu vyote pia kuwanyang'anya mali zao watanzania waliokuwa kwenye jumuia upande wa Kenya wamerudi wengine wakiwa wamerukwa na akili kwa kunyang'anywa mali zao, hovyo sana hawa jamaa sijui roho mbaya wanafundishwa shule haiwezekani wote wawe na tabia moja

cc: MK254
Wana roho chafu sana hawa jamaa, tena wote walikuwa wakikuyu walioongoza uvunjifu wa huo muungano.
 
Na kuzuia vitu vyote pia kuwanyang'anya mali zao watanzania waliokuwa kwenye jumuia upande wa Kenya wamerudi wengine wakiwa wamerukwa na akili kwa kunyang'anywa mali zao, hovyo sana hawa jamaa sijui roho mbaya wanafundishwa shule haiwezekani wote wawe na tabia moja

cc: MK254

mkulu waache tu. maana matokeo yake wanayaona.
dhambi ya uovu siku zote haimuachi mtu salama.
hayo unayoyaona ya watu wa kundi hili kususia kununua bidhaa toka kundi lile. ndo matunda yake haya.
 
[emoji21] [emoji21] [emoji21] kenyan forum always its have cancer coments
Tanzania vs Kenya
 
jibu ni hili
asiyesoma magazeti (na machapisho mengine) ni mjinga lkn anayesoma magazeti (na machapisho mengi) na kuamini kila kitu anachosoma ni mjinga hata zaidi.
Mkuu ujinga haujirudii huyo tunamwita mpumbavu

cc: MK254
 
Pooooovu wakati niliyeanzisha thread nipo kimyaaaaaa!
 
Back
Top Bottom