This thread should be changed to Tanzanian news

This thread should be changed to Tanzanian news

kule juu jukwaa la sijui nini huwa wanaboeka sana...ndio maana unawona wamejaa hapa kama nzi chooni...
 
Naona mmenyukwa 5 bila ndio maana mnapiga mayowe, tulieni mambo bado
 
Tanzania nayo ina news gani? si wamejazana hapa kenya news ka nzi za burst sewer line bringing here bogus news instead of posting on their threads,ju hakuna mkenya hushughulikana kuenda Tanzania LDC news section.
 
Hivi ukitembelewa na mgeni nyumbani kwako ukamkaribisha na kumpa chumba cha kulala,utamkataza mwenye nyumba kuingia kwenye hicho chumba?

Hii nyumba ni ya wa Tz,nyie Wakenya ni wageni na sisi kwa wema wetu tumewakaribisha na kuwapa chumba ambacho endapo tukihitaji kukitumia hamna uwezo wa kutuzuia,,sana sana mkileta ujuaji tunawaondoa kwenye nyumba yetu

Muheshimuni mwenye nyumba.!
 
Hivi ukitembelewa na mgeni nyumbani kwako ukamkaribisha na kumpa chumba cha kulala,utamkataza mwenye nyumba kuingia kwenye hicho chumba?

Hii nyumba ni ya wa Tz,nyie Wakenya ni wageni na sisi kwa wema wetu tumewakaribisha na kuwapa chumba ambacho endapo tukihitaji kukitumia hamna uwezo wa kutuzuia,,sana sana mkileta ujuaji tunawaondoa kwenye nyumba yetu

Muheshimuni mwenye nyumba.!
Jawabu murua kabisa
Mwenye kujielewa kaelewa
 
Back
Top Bottom