kweli wanaume nyie ni viumbe mlijaliwa vituko...
Mimi ugonjwa wangu....ni staili fulani ya kutembea hivi...
Mwanamke anaetembea kama kajinyea hivi.....huwa nakuwa mgonjwa hivi....
Mimi ugonjwa wangu....ni staili fulani ya kutembea hivi...
Mwanamke anaetembea kama kajinyea hivi.....huwa nakuwa mgonjwa hivi....
sasa kinachokuzingua ni nini halafu kitabibu hata w/ume tunatakiwa kupaka ili kulainisha ngozi za mdomo maana kipindi cha baridi midomo ina tabia ya kupasuka
Mimi ugonjwa wangu....ni staili fulani ya kutembea hivi...
Mwanamke anaetembea kama kajinyea hivi.....huwa nakuwa mgonjwa hivi....
Wakuu kuna hii tabia ya kinadada ya kupaka sijui inaitwa lipshine mwenzenu nikiiona nachanganyikiwa hata akiwa anaongea sisikii kitu mi macho yangu yote jinsi midomo inavyofunguka,sasa sijui ni mimi peke yangu ama kuna wengine pia wanaizimia staili hii. Naipenda zaidi kama kapakaa natural lip colour na lipshine au lipshine pekee sio zile nyekundu sana kama avatar ya Belinda
Maria,
Unatania ama?..Kwanini unapenda vitambi?
Pole sna mie nikimuona mkaka ana kitambi hadi shati halifungi hoiii:becky::becky: