Kimsingi tuna mawaziri ambao kwa kuwatazama tu ni incompetent..na hili lote limeletwa na Jiwe.Ila wazee tukubaliane tu kuwa hapa kwa Dorothy Gwajima tulipigwa.
Kweli mkuu Prof. Assad hakukosea kusema kuwa asilimia kubwa ya watendaji serikalini hawana uwezo.Kimsingi tuna mawaziri ambao kwa kuwatazama tu ni incompetent..na hili lote limeletwa na Jiwe.
Mfano huyo Dr.Dorothy hapaswi kuongoza wizara nyeti kama hii ya Afya..lakini lazima tukubali JPM aliwafanya hawa watu kuwa wapuuzi zaidi kwa kumuogopa.
Which people, mkunya anaambia watz waliopo Tanzania, ati people are dying.People are dying in Tanzania. That is a fact. Whether they want to lie about it is up to them.
Well first thing, you learnt abt majimaji war from a biased source of history, unajua vitu huwa vinaandikwa si tu kwa ajili ya kujifunza, sumtyms they are twisted to install a certain narration kwa brain, to down grade yourself au your enemy, utoke na fikra that we're stupid au some people are stupid, Mfano mzuri ni stry za Bible, you can see they didn't involve Africans, they have stories that justify we black men were cursed, but try za Bible na manabii wake majority were black men, but the pictures the his story we weren't included, kinda cursed. Sasa turudi kwa ukweli wa maji maji war, unajua ile vita ilipigwana since 1904 - 1908 big casualties on both sides, wanasema zaidi ya 100,000 german soldiers died, almost all southern part of Tz joined in that rebellion. A very small section of the mutiny ndio walikuwa chini ya Kinjekitile, but guns were used, stolen then reused against germans, silaha za kijadi zilitumika pia. Tembelea museum ya majimaji war, ujifunze ukweli wa ile vitaEver since I learnt about the Maji Maji rebellion in primary school I have always seen Tanzanians as fools . I know its harsh but Magufuli just made my view of Tanzanians as fools even stronger. All that information and still they managed to make themselves look like idiots infront of the whole planet.
Ati juice ya kutibu corona. What BS. It makes me feel sad to be an African.
Can you tell us what her IQ score was when you ran her test?She is a low IQ individual. Anatuaibisha sisi Waafrika. Wakati wa uongozi wa Magufuli watu wajinga kama hawa walikuwa wanapewa nafasi kubwa za kiserikali ili kudanganya wananchi. A bunch of nincompoops being given seniour govt positions.