Mtoto Thomas,
Maneno ya watanganyika juu ya kwamba zanzibar si nchi tunayaona kama vile ni hayatiliki maanani
Kwanza kabisa wewe unaonekana hujijuwi nafsi yako, chukuwa somo godo hapa
1. mimi mzanzibari hata ikiwa wewe unaniona znz kuwa sio nchi na serikali yetu ni sawa na TFF sawa tu lakini mimi ninajuwa kwamba znz ni nchi na serikali ya smz ni halali inayopigiwa kura.
2. tatizo liko kwako wewe huna nchi, huna utaifa kwasababu tanzania sio utaifa, tz ni muungano wa mataifa 2 wewe lako umeliuwa sisi letu tunalipenda na kulifagilia. wewe mjomba ni refugee tu ndani ya nchi yako, ikiwa una nchi wewe niambie ni nani raisi wako?