sasa aangalie sherehe za muungano wiki ijayo ndio ataelewa vzr kama rais wa Zenj ni kama wa TFF au la. Kwenye hizo sherehe Jei Kei atashiriki tu kama rais wa chama cha netball tanzania (CHANETA)
Umenichekesha hatari unaweza ukanivunja mbavu lakn iyo ndo hali halisi kama hajui
Maumivu ya chalinze yamepungua umeanza kuja jf.Aendelee kujitia uchizi tu.
Hapana hapana hapana hapana hapana walioko bungeni siyo ccm pekee wapo wakulima,wavuvi,wafugaji,watumishi wa mungu na vyama vya siasa visivyo na wabunge.Hizi kashfa za hii mijitu ya CCM Ndio maana Lipumba ameyaita Interahamwe...
Intarahamwe mna taabu sana, leo ndio mna jua kuna watumishi wa Mungu mbona mna matusi sana ......mkiongozwa na mama yenu Asha Baraka?Hapana hapana hapana hapana hapana walioko bungeni siyo ccm pekee wapo wakulima,wavuvi,wafugaji,watumishi wa mungu na vyama vya siasa visivyo na wabunge.
Thank you for this useful Post.....!!sasa aangalie sherehe za muungano wiki ijayo ndio ataelewa vzr kama rais wa Zenj ni kama wa TFF au la. Kwenye hizo sherehe Jei Kei atashiriki tu kama rais wa chama cha netball tanzania (CHANETA)
Waliopo bungeni ni CCM pamoja na mikia yao 201.Hapana hapana hapana hapana hapana walioko bungeni siyo ccm pekee wapo wakulima,wavuvi,wafugaji,watumishi wa mungu na vyama vya siasa visivyo na wabunge.
hahaha MTEI wote kimya kama vile hamjaona.Aendelee kujitia uchizi tu.