Thomas Ngawaia: Zanzibar si nchi na Rais wa Zanzibar ni sawa na wa TFF!

we lete maneno ya kukela kwa znz
Mkuu, hebu tukubaliane nae lakini tumuulize kwa nini basi baadhi ya viongozi wa CCM hawataki serikali tatu kwa maana hiyo hiyo kwa rais wa Tanganyika?
 
nakumbuka SIKU PINDA aliposema bungeni Zanzibar si nchi na siku ya pili akasema hakulewa ''nasema zanzibar si nch''i....leo ANAWEZA kurudia maneno yaLE hadharani? wali under estimate reaction ya wazanzibar. LEO KATIBA YA ZNZ IMEWAKWAMA SHIGONI KUMEZA HAWAWEZI KUTEMA HAWATAKI.
now onather time intarahamwe is miscalculate matokeo ya kulazimisha serekali mbili hawajayajua.wao wanapumbazwa na ccm zenj kuwa watakuja rekebisha katiba ya Zanzibar kukidhi matakwa ya maccm bara, yani wanawadanganya wezao. ni kweli katiba ya zanzibar itarekebishwa lakini kuelekea mamlaka kamili ya zanzibar si kwengineko. na kama hawaamini haya niyasemayo wasubiri mda mdogo wataona alichoonya mzee warioba. na watajua maana wakati huo.
 
Kwani zanzibar ni nchi kwa maana ya country au state.tusizozane buree
 
Kujifurahisha na hasa na kuishirikisha nafsi inaleta furaha na hata kuongeza umri na uhai. Nikimwita Mkurugenazi huyo ni kihiyo na wanaomsikiliza bila kuhoji alionena wanaaangukia kundi moja, ni takuwa nimekosea ? Wasomi wa Chuo Kkiuu cha Mnzese.

Mimi nitajaribu kutoa ufafanuzi wa Kikatiba kwa hayo matapishi alioyacheua kuhusu Zanzibar kuacha nchi au la.
KATIBA YA ZANZIBAR

SURA YA KWANZA
ZANZIBAR
Sehemu ya Kwanza
Zanzibar

1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka;na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.
2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania.

Katiba hii ni Katiba ya Zanzibar na itakuwa na nguvu za kisheria nchini kote na isipokuwa kutokana na kifungu 80 ikiwa sheria yoyote inatofautiana na Katiba hii, basi Katiba hii ndiyo itayokuwa na nguvu na sheria hiyo itakuwa batili kwa kiwango kile ambacho kinahitilafiana

Ama kuhusu KUmfananisha Rais wa Zanzibar sawa na wa TFF, hilo naliwacha. Naliona kama tusi kwa kiongozi wa nchi na Sioni yeye na chombo kilichorusha uchochezi huo kikaachwa tu.
 
Well done kaka!
 


Mvamizi anaweza kusema lolote .

Zanzibar ilivamiwa na Laanatullahi Nyerere Januari 12 1964 na kumkamata Waziri Mkuu wake muhammed Shamte pamoja na baraza lake la mawaziri na kuwafunga katika jela za Tanganyika bila kuwafikisha Mahakamani , kabla hata huo uitwao Muungano wa 26 Aprili 1964 haujafikiriwa
 
Hivi toka kipindi hicho ilikua inawezekana mtu kufanya kosa zenji halaf anakuja kushikiliwa Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi toka kipindi hicho ilikua inawezekana mtu kufanya kosa zenji halaf anakuja kushikiliwa Tanganyika

Sent using Jamii Forums mobile app

Laanatullahi Nyerere alimkamata Waziri Mkuu Shamte na mawaziri wenzake na kuwafunga katika jela za Tanganyika bila kuwafikisha mahakamani Kabla ya huo uitwao muungano wa April 26 1964 haujafikiriwa
 
Hivi wewe unaanzaje kumuita baba wa taifa Laanatullah??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…