Nyakijooga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 276
- 473
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Nchini Tanzania(THRDC) umelaani vitendo vya kukamatwa kwa baadhi ya viongozi wa CHADEMA, akiwemo Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho bara, Tundu Lissu, Katibu Mkuu John Myika,Mwenyekiti wa CHADEMA, Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi, Wakili Deogratias Mahinyila, baadhi ya viongozi wa BAVICHA, pamoja na Wanahabari.
Kufuatia kukamatwa kwa viongozi pamoja na watu hao katika maeneo tofauti, Mtandao umetoa wito kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini kuwaachilia huru watu wote waliokamatwa bila masharti ili waweze kuadhimisha siku ya vijana duniani ambayo ilipangwa kufanyika leo.
Soma Pia:
Kikanda ambayo Tanzania imeridhia." imeelezwa katika tamko hilo
Kufuatia kukamatwa kwa viongozi pamoja na watu hao katika maeneo tofauti, Mtandao umetoa wito kwa Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini kuwaachilia huru watu wote waliokamatwa bila masharti ili waweze kuadhimisha siku ya vijana duniani ambayo ilipangwa kufanyika leo.
Soma Pia:
- Jeshi la Polisi lapiga marufuku mkutano wa BAVICHA siku ya vijana duniani
- Lissu, Mnyika na Sugu wakamatwa na Polisi usiku huu. Baadhi ya Waandishi wa habari pia wakamatwa
Kikanda ambayo Tanzania imeridhia." imeelezwa katika tamko hilo