Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dr aliyekuwa anachukuwa 20m huko USAID huku halmashauri utamlipaje?Wasiwasi wangu ni mishahara na maposho waliyokuwa wanajilipa, wakiingia serikalini si wengine wataishia kupata chini ya robo ya walichokuwa wanapata huko kwa kila mwezi......
Mwenye nacho huongezewaKwa hiyo wanaona watoto wa maskini waliomtaani wao hawaumii na hawana familia isipokuwa hao walioachishwa kazi .