Thread imenipeperushia mwali

Thread imenipeperushia mwali

Hahahahahahahahahahhaaa.Fide na wewe umezidi.Kwa nini usitulie na mlokole wako uloshauriwa na mama? stuka mpwa,huenda ndio ishara hizo za kukataliwa.
 
du, mi nakushauri uanze kwa kubadili jina ubatizwe upya halafu mambo yako yatakunyookea. unasafishika mpwa ila kwa damu ya yesu.
 
Amini usiamini nikiwa Vekesheni nikakumbana na mrembo mmoja maeneo ya Mwanjerwa huku na huku ikabidi nimvute chemba kidogo katika maongezi ya hapa na pale story za mapenzi nikamtumbukizia JF akadai anaipata vizuri sana akawa ananitajia hadi members kama ZD, Nguli, MJ1, Nyamayao, Xpin, Kaizer, Geoff, Fidel, F1,bht, carmel na wengineo mm si nakamwambia mi ndo Fidel duh mtoto akabadilika yaani neno kujiexpress likawa ndo agenda ya kunikimbia akaniambia wewe si ulitangaza unastaafu kujiexpress mbona kama hujaacha na unarudia rudia kuliongelea? Jamani nikawa sina kauli nikamwambia ndo hivyo niamini kama huniamini waulize wapwaz dah mtoto akaondoka hivi hivi...ile thread ya kustaafu imenikimbizia mwali any way nahisi alikuwa mtoto wa geti kali au mboga saba yule.

He! Ulivomwambia unanifahamu riaksheni yake ikawaje? Bahati inaweza kuniangukia mimi ujue? Hebu ni-PM contacts zake basi fastafasta!
 
du, mi nakushauri uanze kwa kubadili jina ubatizwe upya halafu mambo yako yatakunyookea. unasafishika mpwa ila kwa damu ya yesu.

Afu na wewe! Damu ya Yesu itasafisha wapi wakati mtu anaogelea kwenye damu ya taska kila kukicha? btw we mbona hujanitakia heri ya mwaka mpya?
 
He! Ulivomwambia unanifahamu riaksheni yake ikawaje? Bahati inaweza kuniangukia mimi ujue? Hebu ni-PM contacts zake basi fastafasta!
Ukimpata binti wa Mbeya , kumbuka ulivyoaswa hapo juu na wa ukweli-anza uongo from minute one!!!
 
He! Ulivomwambia unanifahamu riaksheni yake ikawaje? Bahati inaweza kuniangukia mimi ujue? Hebu ni-PM contacts zake basi fastafasta!

Alinitoka balu akaacha chupa ya Konyagi mezani mm nilikuwa navyonza Valuu
 
hahahahahahaah, I like that. hongera na pole mkuu!!!!!!!!!!!!!
 
Alinitoka balu akaacha chupa ya Konyagi mezani mm nilikuwa navyonza Valuu

Pole sana Fidel yani ukamuona huyooooooo anaishia zake kakuacha ulimi nj kalikuwa kazuri zuri eeee????
icon12.gif
 
Fidel una vituko!

So we kila uendapo lazima utest maji ya kule? Pole lakini nakushauri uwe unatumia jina la Xpin au Geoff halafu unaintroduce topic ya Fidel wa JF uone anamtazamo gani juu ya Fidel.
 
Pole sana Fidel yani ukamuona huyooooooo anaishia zake kakuacha ulimi nj kalikuwa kazuri zuri eeee????
icon12.gif

Unajua vitoto vya Mbeya balaa kitoto black beauty meno meupeee yaani we acha figa ndo ilinitoa udenda kabisaa mpaka nikapagawa aliepeperuka kama njiwa nikaona huyooo kisa jina Fidel.
 
Unajua vitoto vya Mbeya balaa kitoto black beauty meno meupeee yaani we acha figa ndo ilinitoa udenda kabisaa mpaka nikapagawa aliepeperuka kama njiwa nikaona huyooo kisa jina Fidel.

Hakuna kina eliza kule? Si ungekamata mmoja udumishe mila?
 
Fidel una vituko!

So we kila uendapo lazima utest maji ya kule? Pole lakini nakushauri uwe unatumia jina la Xpin au Geoff halafu unaintroduce topic ya Fidel wa JF uone anamtazamo gani juu ya Fidel.

Hehehe hapo umenena,
Next month nitakuwa vekesheni A town kisha nitashuka mpaka TA nitaenda mpaka Chuda. Unajua ukimix maji huugui maralia lazima uchanganya radha mbalimbali.
 
Amini usiamini nikiwa Vekesheni nikakumbana na mrembo mmoja maeneo ya Mwanjerwa huku na huku ikabidi nimvute chemba kidogo katika maongezi ya hapa na pale story za mapenzi nikamtumbukizia JF akadai anaipata vizuri sana akawa ananitajia hadi members kama ZD, Nguli, MJ1, Nyamayao, Xpin, Kaizer, Geoff, Fidel, F1,bht, carmel na wengineo mm si nakamwambia mi ndo Fidel duh mtoto akabadilika yaani neno kujiexpress likawa ndo agenda ya kunikimbia akaniambia wewe si ulitangaza unastaafu kujiexpress mbona kama hujaacha na unarudia rudia kuliongelea? Jamani nikawa sina kauli nikamwambia ndo hivyo niamini kama huniamini waulize wapwaz dah mtoto akaondoka hivi hivi...ile thread ya kustaafu imenikimbizia mwali any way nahisi alikuwa mtoto wa geti kali au mboga saba yule.
But nimependa ulivyojifariji hapo sizitaki mbivu hizi
 
mzee wa ku-jiexpress in the MAKING!
haya bwana!
ngoja kidogo,nitakomment muda si mrefu............

thredi zinanichanganya
 
Fidel una vituko!

So we kila uendapo lazima utest maji ya kule? Pole lakini nakushauri uwe unatumia jina la Xpin au Geoff halafu unaintroduce topic ya Fidel wa JF uone anamtazamo gani juu ya Fidel.

Hahaha! MJ1 bana! We haya tu!
 
Hehehe hapo umenena,
Next month nitakuwa vekesheni A town kisha nitashuka mpaka TA nitaenda mpaka Chuda. Unajua ukimix maji huugui maralia lazima uchanganya radha mbalimbali.

Usisahau Kwa Minchi, Barabara ya kumi na saba na Tangamano watoto wa uswazi kule ndo wenyewe!
 
Hakuna kina eliza kule? Si ungekamata mmoja udumishe mila?

Mpwa nilishindwa baada ya kupagawa na yule mtoto maana nilikuwa nimezimika kabisa we fikiria nilianza biti kali za kumtoa Mby tuje Iraq tupumnzike then tuweke kituo Moro kisha tunapanda zetu Dar mtoto alikolea na bit.
 
Back
Top Bottom