Thread imenipeperushia mwali

Thread imenipeperushia mwali

Nimetaja maeneo ya kwetu so unawezajua mie wa wapi Xpin. Sisi ndio wale wateule wa JF hasa kwa Fidel so najidebea hapa

Umeona SENKSI niliyokugongea? Hahaha! MJ1 bana! Hehehe!
Inaelekea neshno fom foo B ulipata A ya kiwahili! We bana!
Uswazi ndo kwetu bana!
 
Usisahau Kwa Minchi, Barabara ya kumi na saba na Tangamano watoto wa uswazi kule ndo wenyewe!

Alafu nasikia pale Raskazone kuna kiwanja kipyaa kimefunguliwa juzi pale ndo pa kumnzika na mtoto wa uswazi badala ya kwenda barabara ya 9 na 10 bora pale, Lakini toto za uswazi najua kuanzia barabara ya 11 mpaka ya 15 sitokosa.
 
Umeona SENKSI niliyokugongea? Hahaha! MJ1 bana! Hehehe!
Inaelekea neshno fom foo B ulipata A ya kiwahili! We bana!
Uswazi ndo kwetu bana!

lol eti nashno fom foo. Nimecheka hadi machozi yamenitoka
 
we vipi bana?!! ungetumia wini win method angekubali tu, jamaa yangu yuko mbeya anasema totoz za huko ni kama kumsukuma mlevi kwenye mtelemko!

Tujihadharini na UKIMWI unaua!!!
 
DSC_0009.JPG


MJ1 umeona kiota hicho? Kipo pale Raskazone bado kipyaaaaa hapo unatoka na toto la uswazi la barabara ya 15 mbona balaa


 
DSC_0009.JPG


MJ1 umeona kiota hicho? Kipo pale Raskazone bado kipyaaaaa hapo unatoka na toto la uswazi la barabara ya 15 mbona balaa


Yes nimekiona na kwa vile kiko ushuani ah mtoto wa uswazi nikipelekwa pale mbona ni Kempensky ua Tanga bro. Yaani pale wala hapindui wifi ila tu kaka cheza salama si unajua tena?
 
lol eti nashno fom foo. Nimecheka hadi machozi yamenitoka

Hahaha! Unacheka na SENKSI unagonga kama kawa. Ndo nachokupendeaga Mj1. Nitungie basi shairi beti moja kwa afya yangu. Nimeyamisi sana mashairi yako....! (Angalizo: Lisiwe la kuvua pendo tafadhali, wengine tuna aleji ya kumwagwa)
 
Hahaha! Unacheka na SENKSI unagonga kama kawa. Ndo nachokupendeaga Mj1. Nitungie basi shairi beti moja kwa afya yangu. Nimeyamisi sana mashairi yako....! (Angalizo: Lisiwe la kuvua pendo tafadhali, wengine tuna aleji ya kumwagwa)
Wataka nami nikimbiwe kama Fidel? Aku
 
Yes nimekiona na kwa vile kiko ushuani ah mtoto wa uswazi nikipelekwa pale mbona ni Kempensky ua Tanga bro. Yaani pale wala hapindui wifi ila tu kaka cheza salama si unajua tena?

Acha kumdanganya mwenzio, yaani kiota kama hicho afu avae nanihino? Pale HIV hatingi pale. Kishosti kikiingia kama kina Vairasi, wadudu wote wanaishia mlangoni.
 
Alafu nasikia pale Raskazone kuna kiwanja kipyaa kimefunguliwa juzi pale ndo pa kumnzika na mtoto wa uswazi badala ya kwenda barabara ya 9 na 10 bora pale, Lakini toto za uswazi najua kuanzia barabara ya 11 mpaka ya 15 sitokosa.




Nend kajimwagemwage Mzee mzima Fidel ndo mambo ya Raskazone hayo
 


Nend kajimwagemwage Mzee mzima Fidel ndo mambo ya Raskazone hayo

Unaonaje tukiwasindikiza? Sisi tutambonji rum namba 27. Unaiona ile pale juu kushoto? Inaangalia baharini.
 
Unaonaje tukiwasindikiza? Sisi tutambonji rum namba 27. Unaiona ile pale juu kushoto? Inaangalia baharini.

Yani umejuaje Xspin haina shida kabisa hiyo

ANGALIZO: SIMU ZITAZIMWA SIKU ZOTE TUTAKAZOKUWA HUKO
 
suga kwa maneno haya, ninauhakika umtamu! nimekaa nakutafakari binamu, siendi mbali maana wapwazi sijawajua vizuri na speed za akina Fidel80 sidhani kama dead balls kipa anazigusa. hamadi mipira ni kati tu! uzuri, jicho linaanza, sikio linafuata kisha mdomo-- jicho ni vebu sio nomino binamu.
amakweli ugeni kazi, hata sijui senks zinagongewa wapi.


Asee na wewe hilo ndio jina gani bana!
 
He! Ulivomwambia unanifahamu riaksheni yake ikawaje? Bahati inaweza kuniangukia mimi ujue? Hebu ni-PM contacts zake basi fastafasta!

Jamaa yangu Chriss huchelewi kujipigia mapande, sikuwezi mkuu!
 
Yani umejuaje Xspin haina shida kabisa hiyo

ANGALIZO: SIMU ZITAZIMWA SIKU ZOTE TUTAKAZOKUWA HUKO

Au kwa usalama zaidi: ZITATUMBUKIZWA KWENYE MAJI!
 
Back
Top Bottom