Offshore Seamen
JF-Expert Member
- Mar 9, 2018
- 5,489
- 14,091
Wenye ofisi ni BikersTzWenye office kariakoo ni BIKERS CORNER na sio hao, ila hizo bei Mmnh!
Mad Max makinika mkuu bongo ishakua kubwa hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye ofisi ni BikersTzWenye office kariakoo ni BIKERS CORNER na sio hao, ila hizo bei Mmnh!
Mad Max makinika mkuu bongo ishakua kubwa hii
Basi ndo hao ofisi yao ipo kwenye kona pale barabara ya msimbazi na swahili nadhaniWenye ofisi ni BikersTz
Hiyo Yamaha R1 😤😤😤 naogopa ata kuuliza bei.View attachment 2593090View attachment 2593091View attachment 2593093View attachment 2593091View attachment 2593091Bike hizi used zipo kwenye condition nzuri, wanaohitaji tuwasiliane wiki hii kuna gari zinarudi Tanzania tutakusafirishia.
Ushuru utalipa bike ikifika Tunduma, utapewa Control number
Zanzibar ni bora uende Mwenyewe Physical, na ukiipata inayouzwa hakikisha kakupa documents zote alizoingizia bike na kodi yake aliyolipa Zanzibar.Tunaendelea kupeana elimu.
Vipi kuhusu Zanzibar? Kuna watu tunaaminishwa pikipiki Kubwa Zanzibar unaweza ipata kwa nusu bei ukifananisha na Tanzania.
Kuna watu wanauza uko Zanzibar (mitandaoni) unakuta bike kali mil 5.5 je ukiifuata ukakuta kweli ukalipa na ukafanya mchakato wa kuileta Dar vipi inaweza kukugharimu Mil 1 extra (usafiri na kodi TRA)?
Kuna mtu amewahi kunua uko?
8 maana na kodi inahusika hapo.Hiyo Yamaha R1 😤😤😤 naogopa ata kuuliza bei.
Vipi bei yake ni Digits 7 au Digits 8?
Kumbukeni kitu Cha kununua Zanzibar ukikileta huku unaenda tena kulipa Kodi nyingine TRA na ni kubwa kuliko ya kuleZanzibar ni bora uende Mwenyewe Physical, na ukiipata inayouzwa hakikisha kakupa documents zote alizoingizia bike na kodi yake aliyolipa Zanzibar.
Kusafirisha haizidi laki 2.
Duh! Si mchezoKumbukeni kitu Cha kununua Zanzibar ukikileta huku unaenda tena kulipa Kodi nyingine TRA na ni kubwa kuliko ya kule
Hivi kawaida pikipiki ya mil 15 (eg BMW or Yamaha/ Honda) kuiingiza Tanzania kutoka SA kodi no wastani wa kiasi gani?View attachment 2593090View attachment 2593091View attachment 2593093View attachment 2593091View attachment 2593091Bike hizi used zipo kwenye condition nzuri, wanaohitaji tuwasiliane wiki hii kuna gari zinarudi Tanzania tutakusafirishia.
Ushuru utalipa bike ikifika Tunduma, utapewa Control number
Kodi makadirio ni 25% ya thamani, ila ukifika boda na documents watu wa customs wanafanya assessment inakuwa pungufu zaidiHivi kawaida pikipiki ya mil 15 (eg BMW or Yamaha/ Honda) kuiingiza Tanzania kutoka SA kodi no wastani wa kiasi gani?
DIs dungu...olalaaa[emoji119][emoji119]View attachment 1992938
Honda Repsol hii inawafaa wapenda MotoGP hiyo ni Racing Replica(RR) ina features kama za bike za Mashindano ya MotoGP