Usiguse anything above 500 cc, speaking from experience.Honda Repsol hii inawafaa wapenda MotoGP hiyo ni Racing Replica(RR) ina features kama za bike za Mashindano ya MotoGP
Kwangu Best Bike ni Honda CB400 super four, iwe ya carburettor au fuel injectionUsiguse anything above 500 cc, speaking from experience.
Nilikua na CBR 650F ya 2014, narudia tena kama ndio unaanza anza na cc 400 kushuka.
Kawasaki Ninja 300 & 400 sio mbaya, CBR zote chini ya 400 na YRF chini ya 400.
Ninaipenda sana KTM RC390
View attachment 3119996
Best sport bike for beginners aisee.
Naked sio mapigo yangu ila wengi wanazipenda hawapendi kuendesha Sport uku umelala.Kwangu Best Bike ni Honda CB400 super four, iwe ya carburettor au fuel injection
Engine ndogo hazina mapigo ya kibabe inaunguruma kinyonge. Hiyo CB400 super four ikiwa silence unajua ni gari ipo nje inaunguruma.Naked sio mapigo yangu ila wengi wanazipenda hawapendi kuendesha Sport uku umelala.
Naked CB 150R nako kazuri pamoja na MT 15 zina engine ndogo sana kama boxer BM.
Engine ndogo hazina mapigo ya kibabe inaunguruma kinyonge. Hiyo CB400 super four ikiwa silence unajua ni gari ipo nje inaunguruma.
Honda alifanya kazi 4 cylinder engine ya 400cc hata ikiwa na exhaust stock ina sound nzito sana
Mnapends makelele vijana eehEngine ndogo hazina mapigo ya kibabe inaunguruma kinyonge. Hiyo CB400 super four ikiwa silence unajua ni gari ipo nje inaunguruma.
Honda alifanya kazi 4 cylinder engine ya 400cc hata ikiwa na exhaust stock ina sound nzito sana
Mkuu kwa akili yako pikipiki ya hivi iuzwe milioni 8?Wakuu, kuna watu Insta wanajiita biketz wanadai wana import bikes kutoka Japan kuja Bongo. Nimekua naangalia bei zao naona no cheap sana. Na wanasema unalipia kwanza ndio pikipiki inakuja.
Mfano ni hizi hapa:
Hii BMW inauzwa Mil 8.
View attachment 2579605
Na hii Ducati Mil 8.5
View attachment 2579610
Kuna uwezekano ikawa kweli, lakini bei zao naona kama ndogo san.
Kuna mtu anawajua?
Ni matapeli kaka. Niliwasiliana nao wako Zanz nikasema nna mtu namuagiza aje nikaishia kula block.Mkuu kwa akili yako pikipiki ya hivi iuzwe milioni 8?
Na washawaliza watu sanaNi matapeli kaka. Niliwasiliana nao wako Zanz nikasema nna mtu namuagiza aje nikaishia kula block.