MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Huwa ni kitu gani hicho? Kuna mtu aliwahi kuniambia huwa kina umbo mfano wa KITIKuna kitu wanakiona ndani yako wanakuona kama Threat.
wanajua ukifanikiwa utakua extra-ordinary ila we mwenyewe hujioni kwa sasa.
Watu kama hao hata uwaheshimu hawathamini
kila mtu ana kitu ndani yake ila kuna watu ni magenius ,born to lead /born to shine and the likeHuwa ni kitu gani hicho? Kuna mtu aliwahi kuniambia huwa kina umbo mfano wa KITI
Mimi huwa nachukulia CASE STUDY YA NGURUWE ANACHUKIWA NA DINI NZIMA ILA NDIO ANAZIDI KUNENEPA
👇👇
Dah sio poakila mtu ana kitu ndani yake ila kuna watu ni magenius ,born to lead /born to shine and the like
William shakespare - Some are born great, some achieve greatness, and others have greatness thrust upon them.”
Akikupenda Mungu inatosha.Kwema Ndugu zangu,
Yani unaweza kumeet na mtu au watu ambao wamekuzidi kila kitu, lakini wakaamua kukuchukia tu bila hata sababu yeyote.
Hata ukujitahidi kuwa tendea mema kwà HEKIMA, BUSARA, UPENDO na kwà ADABU zote, bado wataendelea kukuona si mtu mzuri.
Hii kitu ni gani aisee....let's discuss hii issue manzee
Amina kubwaAkikupenda Mungu inatosha.
[emoji3][emoji3][emoji3] lakini kwenye giza anatafunwa kama kawaidaMimi huwa nachukulia CASE STUDY YA NGURUWE ANACHUKIWA NA DINI NZIMA ILA NDIO ANAZIDI KUNENEPA.
Si hangaiki na anayenichukia, na hangaika na Mungu tu, mtu ambaye hana mbingu ya kuniweka wakazi gani, Upendo wa Mungu ni utosherevu.Kwema Ndugu zangu,
Yani unaweza kumeet na mtu au watu ambao wamekuzidi kila kitu, lakini wakaamua kukuchukia tu bila hata sababu yeyote.
Hata ukujitahidi kuwa tendea mema kwà HEKIMA, BUSARA, UPENDO na kwà ADABU zote, bado wataendelea kukuona si mtu mzuri.
Hii kitu ni gani aisee....let's discuss hii issue manzee
Safi sana🤣🤣🤣Mimi huwa nachukulia CASE STUDY YA NGURUWE ANACHUKIWA NA DINI NZIMA ILA NDIO ANAZIDI KUNENEPA.
😊😊 eti mfano wa kiti, hukumuuliza afafanue zaidi natamani kujuaHuwa ni kitu gani hicho? Kuna mtu aliwahi kuniambia huwa kina umbo mfano wa KITI
Mimi huwa nachukulia CASE STUDY YA NGURUWE ANACHUKIWA NA DINI NZIMA ILA NDIO ANAZIDI KUNENEPA.