MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,967
Kwema Ndugu zangu,
Yani unaweza kumeet na mtu au watu ambao wamekuzidi kila kitu, lakini wakaamua kukuchukia tu bila hata sababu yeyote.
Hata ukujitahidi kuwa tendea mema kwà HEKIMA, BUSARA, UPENDO na kwà ADABU zote, bado wataendelea kukuona si mtu mzuri.
Hii kitu ni gani aisee....let's discuss hii issue manzee
Yani unaweza kumeet na mtu au watu ambao wamekuzidi kila kitu, lakini wakaamua kukuchukia tu bila hata sababu yeyote.
Hata ukujitahidi kuwa tendea mema kwà HEKIMA, BUSARA, UPENDO na kwà ADABU zote, bado wataendelea kukuona si mtu mzuri.
Hii kitu ni gani aisee....let's discuss hii issue manzee