dosho12 JF-Expert Member Joined May 6, 2023 Posts 596 Reaction score 1,475 Nov 1, 2024 #21 Kuna wengine wanakuja na mchanga wa dhahabu wanaomba uwasadie unapo uza atakupa kama laki saba hivi
K Keyser Söze JF-Expert Member Joined Mar 12, 2013 Posts 454 Reaction score 666 Nov 3, 2024 #22 Hawa wanojifanya maafisa wa TCRA, wanakwambia huduma kwenye simu yako zimesitishwa. Huwa inafanya je kazi? Maana mimi wamenipigia ili nilijua tu ni tapeli. Nilimchapa maswali Kashindwa kujibu kakata
Hawa wanojifanya maafisa wa TCRA, wanakwambia huduma kwenye simu yako zimesitishwa. Huwa inafanya je kazi? Maana mimi wamenipigia ili nilijua tu ni tapeli. Nilimchapa maswali Kashindwa kujibu kakata