Thread ya list ya wana JF wanaohama Tigo

Tigo hawana maana kabisa,......
 
Tigo wanakesa. Mimi nipo Airtel long time, wala hamna usumbufu.
 

Kaka Airtel na Zantel wana kupa SUMMARY ya kila sekunde uliyopiga ukikata tuu simu.
 
Naama leo rasmi Tigo nimeweka vocha ya 2000 nimeongea dakika 14 imeisha huu ni wizi sina pa kulalamika
 
Tigo wezi wakubwa kabisa yani mie najihamia leo......makato yao makubwa mno hapa nahamia Airtel maana hawa jamaa miyeyusho
 
Mimi nahamia tigo maana hao airtel ndo wamekuwa vmeo mwanzo mwisho! nimeongea dk 2 airtel kwenda airtel wamenikata 240, hawa kweli wananitakia mema?
 
Karibuni huku nilipo mimi, kila kitu raha tu, mtanadao wao uko kia kijiji, internet ukigusa tu imeitika, hamieni huku....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…