TIGO
ZANTEL
VODACOM
AIRTEL
Na mitandao mengine yote hakuna mwenye afadhali nasema kwasababu watanzania wengi tunajua kuweka vocha na kupiga simu sidhani kama watu wana tabia ya kufanya uchunguzi baada ya kupiga ameongea kwa muda gani na kwenye simu yake alikuwa na salio kiasi gani na amekatwa kiasi gani kwa muda huo aliongea, mkiambiwa Sh 1 au Sh 2 kwa sekunde huwa mnahakikisha kuwa kweli? Hakuna tofauti yoyote ile nasema hivyo sababu niliishafanya kazi kwenye NOC (Wataalamu wa IT watakuwa wanaelewa namaanisha nini) ya mojawapo ya hawa providers and i know how the game is being played na hawa operators.