Thread ya Show ya "I am Zuchu": Kutoa Tsh. million 5 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaitaji uwe na utajiri wa Bakhresa

AlphaMale

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2019
Posts
613
Reaction score
1,416
Elf 50 au laki 1 kumuona Zuchu kwenye VVIP inaeleweka, ila million 5 aise kwani naenda kumuona Niki Minaj au?

Zuchu yuko overpriced


Mauzo ya Ticket


Mapato kutokana na Mauzo ya Ticket


Tathmini ya Show


Mahudhurio ya Wasanii tofauti tofauti
 
Kuna ule msemo wa "usiseme watu hawana hela semea nafsi yako kuwa huna hela."

Wewe waache wenye hela zao wataenda,wewe kama huna hela na kama unataka kuangalia lipia king'amuzi chako angalia na vile kama hutaki UNAWEZA UKALALA UKA-ASSUME KAMA HAMNA KINACHOENDELEA HAMNA UTAKACHO PUNGUKIWA.

Ila waache wenye hela zao wakazitumie ndio maisha hayo,kuna wengine uwezo wao V8,wengine PRADO,PAJERO,wengine VITZ,IST ,wengine BAJAJ,wengine PIKIPIKI,wengine TZ 11 cha msingi pambana na hali yako.
 
Yule Mo ana hela ya urithi...Waliotafuta wenyewe hawana muda huo..Rostam au Bakhresa watasikiliza nachomeka kwenye tope kuwa serious kidogo
Mkuu million 5 unaona ni nying? Kwa mtu mweny pesa hiyo ni hela mbuzi tu

Alaf kwa Mo mbna umeenda mbal..naongelea madogo tu wa mtaan hizo million 5 wapo wanaingiza kwa lisaa na wanskiza bongo flavour vzr tu... Mkuu Dunia ya sasa sio Kama ya zaman..hiyo 5M nying kama unasubr mshahara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…