Huyo mwenyewe kahadithiwa tu inawezekana hakuwepo hata hapo ukumbini
Umeniwahi😂Wakati anaperformance,,,,,,,,,,,,yayayaaauaaahaaaa
Chuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.
Mzee mbona una chuki sanaUtadhani hatukuona show,yaani nnasifia na kuonyesha mnalipwa kwa hii kazi,jukwaa ilikuwa nzuri lakini perfomance ya Zuchu ndo ya hovyo.
Mwanamke mzima una chuki kwa mwanamke mwenzakoZuchu hana excuse kwa show mbovu ya jana. Amezaliwa na kulelewa na nguli wa performance Khadija Kopa, hata hajifunzi kwa mama yake? Miaka yote minne aliyosema alikuwa kwenye mafunzo huko usafini ndio utopolo gani ule?
Ieleweke nampenda sana mama yake, nimejikuta nampa sapoti sababu ya mama yake ila kaniangusha sana. Anapayuka kama yuko kilabuni ati anaperfom live na bendi!
Tazama mama yake aliposhika Mic, sawa uzoefu unachangia ila roho yangu ilisuuzika, she is the best. Ndiye pekee aliyeuchezesha ukumbi mzima bila kumsahau Jide huyu ni kiboko inafahamika, Mbosso na Dullah Makabila alinishangaza, anajua sana.
Mzee mbona una chuki sana
Dah ..kwel adui wa wanawake ni wanawake wenyew [emoji16]Chuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.
Tathmini ya hovyo kuwahi kutokea!Kwanza niwape pongezi Sana Wasafi namna walivyopamba ukumbi ulikuwa very nice na pia setting up ya jukwaa ilikuwa zuri Sana ikiwemo graphics zilizotumika on scene wakati msanii anaperfomance ilikuwa Ni fire Sana.WCB wanajua how to brand msanii na hii ndio tofauti yao na wasanii wengine I believe after hiyo show itapandisha value ya Zuchu Mara dufu.
Perfomance
Performance ya mboso dah was amazing kwa kweli amefanya wonders performance na ana deserve zile hela nyingi alizotuzwa.I think mbosso ndio msanii aliyetunzwa hela nyingi Sana.
Combination performance ya mboso & Zuchu
Moja Kati ya performance iliyonikosha kweli kweli nilipenda chemistry walionayo.
Combination ya Zuchu & Jide commando
Kumekuwa namsemo kwamba wanawake wanachukiana Sana lakini ushirikiano wa Jide na zuchu unaweza kutengeneza kitu kwenye Huu mziki.Walifanya something special as if Kama walikuwa na ngoma ya pamoja hapo kabla.Honestly nimependa Sana performance yao ya pamoja kiasi ambacho mashabiki wakataka warudie kuperform Mara 3.
Performance ya Zuchu
Kwanza kabisa ana confidence yake kaperform as if ana muda mrefu kwenye game I did like dress code yake ila nimependa zaidi performance ya wimbo wake wa "Nisamehe" nimependa alivyo calm na hisia kubwa aliyotumia Kama wimbo ulivyo, ukichanganya na voice yake ilivyo mzuri you get something good.Pia ametuonesha uwezo wake pia wa kudance huku aliimba kwa baadhi ya wimbo zake was amazing.
Combination ya mama yake na Zuchu
Waliua Sana aisee mama na mtoto.
performance ya Lavalava
Katika show zake zote za Lavalava hii ndio best show kuliko zote nilizowahi kuona kutoka kwake mzee aliua.
Ushauri wangu kwa baadhi ya udhaifu
Kuna watu wengi walibaki nje ambao walikosa tickets Wasafi wangejitahidi kuweka scene kubwa nje ya Ukumbi walau waone Nini kinajili ndani kuliko walivyowaacha.
La pili hili Ni moja Kati ya tatizo kubwa la watanzania wengi na nilichoona Jana watu kutokuja kwenye tukio kwenye muda uliopangwa watu hawapendi kuzingatia muda wasafi walipanga tukio nzima lianze saa 1 usiku Cha ajabu hata Diamond mwenyewe na Zuchu walikuja saa 2 usiku badala ya saa 1 usiku.
Kwanini wewe usimsign huyo Ruby? tatizo la Ruby ana kiburi lakini pia ajui kutunga nyimbo hiyo ndio inafanya awe na nyota ya kunguniChuchu hamna kitu. Ni lebel tu ndo inambeba. Now nimeelewa why alikaa miaka minne bila kusaigniwa. Hana kipaji,sauti mbaya,kutawala jukwaa hajui.
Diamond hivi kweli si bora ungemsign Ruby. Ruby ni moto kabarikiwa yule binti. Ni vile hana promo tu .Angekuwa Mwislam im sure angesainiwa pale wasafi.
Bro madem hawapendani hata...angalia comment za kike zote ndio negative [emoji16][emoji16]Mwanamke mzima una chuki kwa mwanamke mwenzako
Maana tatizo mmempa Nina la malkia wa bongo flavor while she is not. Hafiki hata robo kwa Ruby,achilia mbali kwa Nandy.Dah ..kwel adui wa wanawake ni wanawake wenyew [emoji16]
Hivi lini mtaanza kupendana ? Ile show we unaona ni yakiwaki? Tena mtu hana experience...Hebu madem mjifunze ku appreciate...Ile show zuchu kafanya poa sana...Mtu kafanya gestures zote, dancing..moves hadi kwa audience , comfortable still unasema hajatawala jukwa....? Uzur show ipo YouTube wala haiitaji hype..
Mzee mbona una chuki sana
Mwanamke ampende mwanamke mwenzie kwa malengo yapi?Dah ..kwel adui wa wanawake ni wanawake wenyew [emoji16]
Hivi lini mtaanza kupendana ? Ile show we unaona ni yakiwaki? Tena mtu hana experience...Hebu madem mjifunze ku appreciate...Ile show zuchu kafanya poa sana...Mtu kafanya gestures zote, dancing..moves hadi kwa audience , comfortable still unasema hajatawala jukwa....? Uzur show ipo YouTube wala haiitaji hype..
Zuchu hana excuse kwa show mbovu ya jana. Amezaliwa na kulelewa na nguli wa performance Khadija Kopa, hata hajifunzi kwa mama yake? Miaka yote minne aliyosema alikuwa kwenye mafunzo huko usafini ndio utopolo gani ule?
Ieleweke nampenda sana mama yake, nimejikuta nampa sapoti sababu ya mama yake ila kaniangusha sana. Anapayuka kama yuko kilabuni ati anaperfom live na bendi!
Tazama mama yake aliposhika Mic, sawa uzoefu unachangia ila roho yangu ilisuuzika, she is the best. Ndiye pekee aliyeuchezesha ukumbi mzima bila kumsahau Jide huyu ni kiboko inafahamika, Mbosso na Dullah Makabila alinishangaza, anajua sana.
Alafu nilimsahau huyu mwamba dula makabila aisee jamaa aliua Sana ila aliyopiga inaitwa classic singeli wakati alivyoitwa kupanda stage nikajiuliza singeli na tukio la event jamaa atafanya Nini? lakini the end of the day amenishangaza Sana.Everything was on point...
Ila umemsahau Dula Makabila.
Huwa simfuatilii wala kusikiliza singeli...ila jana amafanya vizuri sana.
As for Zuchu sina la kuongeza...but she is Money.. I see millions money in her.
Nilishawambia msipoteza muda kubishana na wagumba hao.Bro madem hawapendani hata...angalia comment za kike zote ndio negative [emoji16][emoji16]
Alafu wanalilia kuwezeshwa wakati adui wao ni wao wenyew...Very crazy stuffs
Me mwenyewe nashangaa kwa huyo dada kuonesha wivu wake wazi wazi.JANAMKE unapokua na husuda kwa maendeleo ya mwanamke mwenzio!
Ptuuuuuuuu mate ya usoni.
Maana tatizo mmempa Nina la malkia wa bongo flavor while she is not. Hafiki hata robo kwa Ruby,achilia mbali kwa Nandy.
Achana na hayo majina...Nandy mbona anajiita African PrincessMaana tatizo mmempa Nina la malkia wa bongo flavor while she is not. Hafiki hata robo kwa Ruby,achilia mbali kwa Nandy.