Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Zifuatazo ni threads (nyuzi) za Jamii Forums zilizokuwa mbele ya muda (zilizotabiri yajayo)
Sijajua kama ni kipawa tu cha mtu au ni sehemu ya maamuzi wa ya watu wa ndani ya mfumo.
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Iheshimu sana JamiiForums.com ni zaidi ya mtandao...
Sijajua kama ni kipawa tu cha mtu au ni sehemu ya maamuzi wa ya watu wa ndani ya mfumo.
Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria
Watu mna mbishia jamaa amjuhi kuwa jamaa aliwai toa utabiri wa kifo cha magufuli sio utabiri wake wa kwanza huu tafteni nyuzi zake za nyuma mtamjua vizuri.
How Chato will look in 2025 like President Mobutu's ruined jungle paradise, Gbadolite
Pata picha kwa speed hii, try to figure out, how will Chato be in 2035 after this heavy investment starting now if at all he will stay in power for 10 years, i hear a talk about textile factories but i read of gazetted GOT tenders about construction of an international Airport less than 140 km...
Bernard Kamilius Membe, aingia 18 za Genge la Cyprian Musiba. Nini tutarajie?
Salaam Wakuu, Sasa nataka kuona hii ngoma Membe ataichezaje. Bernard Membe Baada ya Mahakama kuu ya Tanzania, masijala kuu Dar Es Salaam kumtaka Cyrpian Musiba kumlipa Bernard Membe TZS 9.9 Bilioni, kwa kosa la kumchafua kupitia magazeti yake, Kampuni ya Yono Auction Mart ilipewa Idhini na...
Kwa wasiomjua Magufuli, Je, anafaa kuwa Rais?
Je unajua kwa nini watu wanampenda Magufuli ni kwa sababu ya utendaji wake na hii ni tofauti na JK alivyoingia kwani mimi binafsi sikujua utendaji wa JK akiwa kama waziri zaidi ya kusaidiwa na promise ya baba wa taifa, kwa mtoa mada anachokisema ni mapungufu ambayo yapo kwa walio wengi na kwa...
Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania
Naona mnataka kumuua na huyu mama ili mumuweke huyo mrundi wenuKwani wanashindwa kuuwana kimya kimya mpaka waje kututangazia na kujisifu kuwa wao ndo wamemuondosha mtu flani
Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Wanabodi, Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha...
Iheshimu sana JamiiForums.com ni zaidi ya mtandao...