Make impossible things to be possible. I'll call you "champ" .Too bad PM can't go through .. Zimestuck on the way .. Keep on waiting , probably you will get lucky one day.... Thanks..
Umejiweka wewe au nywele zakoMi nimejiweka mwenyewe tu
Mimi ila nimeinamisha uso... Pozi za selfie tu[emoji85]Umejiweka wewe au nywele zako
Warembo wa mjini mna mbwembwe. Selfie siku hizi nazo zimechangia kuongezeka kwa joto mjini....Mimi ila nimeinamisha uso... Pozi za selfie tu[emoji85]
Hahahahahaha we nae ni shiiiiiidaWarembo wa mjini mna mbwembwe. Selfie siku hizi nazo zimechangia kuongezeka kwa joto mjini....
Duuuuuuuuuuuuh! hili nalo ni jipuya kwangu inasadiki vitu vizuri vizuri kama pesa
Watu wengine wana bahati ya kuitwa maneno mazuri!!!!!!! dear za kutoshaaa...ashindwe kunenepa tuOkay dear , nimeelewa now.. Honestly sikuelewa maana ya avatar yako haswa uliposema ndivyo ulivyo.. People who are Left handed , they are very Blessed ... So you are Blessed dear .. Thanks..
Hata wewe preta ludisha ile uliyo toa.Kweli kabisa....... lara 1 plz plz plz.......rudisha avatar ya Amber........ilikuwa inakumechisha mno.........
hahahah usinitafutie balaa ndugu yangu, sasa hiyo sura na shape vya mjomba afu useme ndo black beauty mwee. Nawapenda tu black beauty ila genes za kinyaki zimenipenda zaidi[emoji85] [emoji85]hahaha ati shape na sura ya mjomba, haha duh...at least watu wanapata picha heaven ni black beauty lol
Hahah Ndagha malafyale. ..Kweli damu ni nzitoKumbe ww dada angu wa damu kabsaaa....ndo maana tuna pendana...lol...ndagha mama
Ki vipi tena mrembo. Hivi unajua nazungumza ukweli mtupuHahahahahaha we nae ni shiiiiiida
Swala la selfie kuongeza jotoKi vipi tena mrembo. Hivi unajua nazungumza ukweli mtupu
Binafsi nafananisha sana comments na thread zako na sura ya avatar yakohahahah usinitafutie balaa ndugu yangu, sasa hiyo sura na shape vya mjomba afu useme ndo black beauty mwee. Nawapenda tu black beauty ila genes za kinyaki zimenipenda zaidi[emoji85] [emoji85]
hahahah usinitafutie balaa ndugu yangu, sasa hiyo sura na shape vya mjomba afu useme ndo black beauty mwee. Nawapenda tu black beauty ila genes za kinyaki zimenipenda zaidi[emoji85] [emoji85][/QUOTE
Mhhhhh!!!! Basi sawa ila mimi napenda maushauri yako yameenda shule sana.. Big up!
Eeeh em Nipe huo ulingalisho jamani mweeeBinafsi nafananisha sana comments na thread zako na sura ya avatar yako
Sijui nisemeje, lakin ni km imagination the way i feel about it.Eeeh em Nipe huo ulingalisho jamani mweee