Threads 1,000 hazitoshi ku-prove ubaya wa Magufuli bali fact moja tu

Wewe kwanza jifunze tofauti ya "don't know" and "don't no" kabla ya kujitutumua kubishana nami.

Magufuli was a country bumpkin.

Wewe ni nan mpaka watu waone unau-special kubishana nao?
Na heshimu reasoning yako(ambayo kimsingi ni logical reasoning tu japo sio kwa mapana hayo
zaidi ya hapo you have nothing to offer)
lakini sio kwa kiwango cha kuona fahari kubishana na wewe.
You are worth nothing in my life.
 
Makufuli.... umeambiwa alikuwa nani?[emoji16][emoji16] Eti makufuliii hahaaa,,,[emoji16][emoji1] kijana bado uko kwa baba naona[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Na ushahidi wa hio fact hawataupata kwasababu alishachomoa file lake kule mirembe, ata Dialo anajua!
Dialloo ajue kikwete, Mkapa wasijue?
Ina fahamika Magufuli hakuwahi kuwa na mahusiano mazuri na dialo ndio maana
alikuwa akienda mwanza anaenda kusaini kwa mwenyekiti wa jumuiya ya wazazi mkoa ccm badala ya mwenyekiti mkoa.
Bifu lao halijaanza baada ya kifo chake usiimbe kama kasuku waulize wajuvi nin kilitokea.
 
Dialo ni mmoja tu kati ya wengi wenye akili timamu tunaojua, ni ushahidi tu tumekosa 😂😂😂
 
Samia alikuwa wapi kipindi hicho- huo ni unafiki.
Aliyechoma ni Magufuli? Watumishi ndani ya system samia amewafanya nini kama walikengeuka taratibu?

magufuli alikuwa rais bora kuliko marais waliotawala na watakao tawala..
Alikuwa rais bora kwako tu
 
Hii nidham ilikuwepo zaman,Nyerere angekuwepo sasa angepewa hii nchi ingemshinda
 
Hii nidham ilikuwepo zaman,Nyerere angekuwepo sasa angepewa hii nchi ingemshinda
Ingemshindaje nayeye ndie muasisi! Nyerere hakuwa fisadi wala kujipambanua kuwa hivyo na ndio maana aliheshimika!
 
Mwisho Kabisa Nchi hii haiitaji mtu Imara bali Taasisi Imara..., sababu hata akija malaika tutakuwa tunaongea hayahaya, inabidi tuongozwe na kanuni na sio matakwa au utashi wa mtu....
 
Fact ni moja tu kama Sabaya alikua kijakazi wake na katenda hayo vipi Bwana yake
 
Makufuli.... umeambiwa alikuwa nani?[emoji16][emoji16] Eti makufuliii hahaaa,,,[emoji16][emoji1] kijana bado uko kwa baba naona[emoji16][emoji16][emoji16]
Makufuli alikuwa John Pombe the Padlock Magufuli (kwa kuweka makufuli kwenye Taasisi nyingine na yeye kuendesha nchi kama Taasisi yake Binafsi)
 
Unaweza kuprove mtu kuwa wrong ukihusisha jambo jambo moja moja. Kisayansi ni rahisi sana Einstain alikuwa mwanasayansi.

Kijamii ni vigumu sababu ya different perceptions.

Mfano mtu anasema mtoto akipata mimba asiendelee kusoma mwingine anasema aendelee. Who is wrong, anyway? It is a matter of debate.

Juzi imesemwa kuchoma vifaranga haikuwa sawa laki rais aliyekuwepo hakutamka kitu.

Haya, kuna issue ya mabeberu inayokinzana na wafadhili.

Kama tunafanya tofauti na aliyetangulia tukiamini haikuwa sahihi huko ni kujaribu kuprove kwamba huyo aliyetangulia alikuwa wrong, ni ushidi gani unataka?
 
Pia watu wengi wanajaribu kuprove kuwa that man was wrong ni walio na madaraka kwa matendo yao.
 
Hatuongelei kuhusu siasa.

Tunaongelea kama madai yanayohusishwa kufanywa na Magufuli kama kweli Magufuli
alihusika moja kwa moja au la.

Unapesema Magufuli ni fisadi, chizi, jambazi, muuaji hayo ndio tunayoyaombea uthibitisho.
Na si falsaafa za Magufuli.

Ukisoma philosophy of science utaelewa kwanini nimetumia mfano huo.
 
Yupo wapi Chacha Wangwe.
Kichwa maji wewe
Kwa hiyo hao niliowataja wamepotezwa na kuuwawa ili kufidia kifo cha chacha wangwe?
Yaani unahalalisha na kukubali kwamba hao wameuwawa kwakuwa chacha wangwe alikufa.?
Akili ndogo sana hizi duh.
Okey ! Chacha wangwe ameuwa lakini alizokuwa na amezikwa kwai. Hao wengine wamezikwa wapo!?
 
Mbona unang'aka Kubali kwanza mwamba alihusika?
Nimeweka angalizo usijadiili kwa hearsay hata kwenu kama ni tuhuma zipo nyingi weka uthibitisho
Magufuli alihusika vipi na hayo.
Unaposem Kichwa maji ni uwezo wako wa kufkir ndio umeishia hapo(kwa kuwa umekosa hoja) na hainihusu mimi
inakuonyesha wewe jinsi ulivyoishiwa na hoja kama ulikuwa hujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…