We acha kumlisha maneno SAF yeye siku zoote husema Ronaldo ndiye boraBaada ya kutolewa man u kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya barcelona...ambapo abidal alikuwa anaumwa nafasi yake ikarithiwa na Yaya toure! Ferguson alisema Messi alikuwa mwiba kwao kwasababu hawakuweza kumdhibiti! Kiufupi alimvulia kofia, kipindi ambacho huyo ronaldo alikuwepo Man U!!! Huyo ferguson mchezaji wake bora ni messi ila hataki kumkera kijana wake (ronaldo)!
Wenger kashahojiwa sana...yeye kafunga brwki kabisa kuwa hakuna kama MESSI!!!
Baada ya kutolewa man u kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya barcelona...ambapo abidal alikuwa anaumwa nafasi yake ikarithiwa na Yaya toure! Ferguson alisema Messi alikuwa mwiba kwao kwasababu hawakuweza kumdhibiti! Kiufupi alimvulia kofia, kipindi ambacho huyo ronaldo alikuwepo Man U!!! Huyo ferguson mchezaji wake bora ni messi ila hataki kumkera kijana wake (ronaldo)!
Wenger kashahojiwa sana...yeye kafunga brwki kabisa kuwa hakuna kama MESSI!!!
Wacheazaji wote duniani ili wajihisi wamefika level za juu ni kukipiga kwenye klabu mbili bora duniani ambazo ni BARCELONA au REAL MADRID...sasa wewe unataka Messi atoke Barcelona halafu aende wap??? Man U? West Ham? Arsenal? Yeye kashapita zamani levo ya klabu hizi tangu yupo teenager... Ronaldo alitokaan U na kwenda madrid, hii ilikuwa ni kama kupanda daraja kwake! Messi hana pa kwenda...He is too big!!!Hahaha
Sababu mbona nimekupa!!, di stefano si mbaya ila naamini alikuwa kwenye ubora alivo kuwa Madrd tuu ila alipo toka kubadlsha mazingiza hakuwa vzuri tena
Kempes sija mkataa lakin hata ukiweka wachezaj wa Amerika kusini pekee Kempes top 5,hagusi
Kwani wewe leo una muweka kwa sababu ipi!!?
HaaaaWacheazaji wote duniani ili wajihisi wamefika level za juu ni kukipiga kwenye klabu mbili bora duniani ambazo ni BARCELONA au REAL MADRID...sasa wewe unataka Messi atoke Barcelona halafu aende wap??? Man U? West Ham? Arsenal? Yeye kashapita zamani levo ya klabu hizi tangu yupo teenager... Ronaldo alitokaan U na kwenda madrid, hii ilikuwa ni kama kupanda daraja kwake! Messi hana pa kwenda...He is too big!!!
Aibu??? Wewe hata mpira hufatilii? Maelfu wameandamana kumuomba arudi kwasababu ya mchango wake...sasa aibu yatoka wapi? Au hili neno aibu lina maana nyingine kwako?Nje ya Barcelona Messi ni wakawaida sana,mafanikio yote kayapatia Barcelona,Timu ya Taifa kamaliza kwa aibu.
Si bishani na toa sababu na yeye akitoa zake na jibu
Ukitaka tubishane pia naweza
Hukubahatika kumshuhudia live pele wala maradona! Hujachelewa, watafute youtube...Maradona ni bora sana kuliko Pele!Uhali na ukweli huo ni kwa upande wako
Maradona kafunikwa na pele
Na Messi kafunikwa na Ronaldo
Huwezi kunilazimisha niwaze unacho waza wewe
Ambacho ni hisia tena zenye bias na zczo za kisoka
Wewe ulimshuhudia wapi live Pele !!?Hukubahatika kumshuhudia live pele wala maradona! Hujachelewa, watafute youtube...Maradona ni bora sana kuliko Pele!
Yeye akatafute ya nini? Ana Ballon D'or tano ambazo hakuwahi fikisha mchezaji yoyote duniani! Yeye hana cha kuprove kwasababu ashakuwa approved muda mrefu kupitia tuzo mbalbali... Yaani asiwe approved wakati wa kucheza barca, atakuwa wapi? Man city au sunderland???Haaaa
Mimi siyo kazi yangu kumpangia kwa kwenda yeye ndo atafute
Halafu kumbuka kwa kipindi kile man u haikuwa tim ndogo kama ulivo ilinganisha na west ham wewe
Hivo yeye ndo atafute new challenge( jambo ambalo si nlazimishi) kwangu mimi ndo kipimo hicho
Eeeh ndo maana akitoka nje ya barcelona huwa hashindi kitu maana kina kaka iniesta wa kumbeba wanakuwa hawapoYeye akatafute ya nini? Ana Ballon D'or tano ambazo hakuwahi fikisha mchezaji yoyote duniani! Yeye hana cha kuprove kwasababu ashakuwa approved muda mrefu kupitia tuzo mbalbali... Yaani asiwe approved wakati wa kucheza barca, atakuwa wapi? Man city au sunderland???
Mkuu
Umesoma reason yangubya kuwa mbishi
Au ina kurupuka
Hivi mtu mwenye magili zaid ya 1000,na makombe ya dunia ma 3 unasema alipitwa kwa kura ambazo zimefanyika miaka miaka zaid ya 30 ya kucheza kwake!!!!
Be reasonable bhana
Yaaan ulicho paswa umuongelee pele ndo ume muongelea maradonaMagoli 1000 ndio nini sasa? Zaidi ni ya offside kipindi hicho sheria hazikuwepo hivyo isikupe headache
3cups sio solution yakuwa yeye ni bora, remember dat period alikuwepo Alfredo de stefano japo hakuwa na bahati ya mogoli mengi na vikombe lakini ndie best player more than pele, Pele fifa inamlinda.
Vilevile kacheza wakati sio mgumu kama kipindi cha akina king Maradona to now, kipindi hicho sheria hazikuwepo, mabeki wenyewe hakuna tofauti na sasa.
Maradona atabakia kuwa maradona ktk huu ulimwengu
Mfalme Messi And Mfalme Maradona No comparisons of these two kijanaaa.
Hivi mkuu una piga kura mmoja kacheza mwaka 1950-1970 na mwingine kacheza mwaka1980- 1996
Halafu wana piga kura mwaka 2000 halafu wanatumia internet
Hivi mkuu huoni kama haikuwa njia fair ya ku determne huo ushindi kwa sabab ya generation gap!!?
Ndo FIFA technical commitee walikaa wakaona huo ni uhuni na ku msabotage mfalme Pele hapo huihataji FIFA tumia akili zako tuu za kuzaliwa
Nakuoa mfano wwe wali conduct polls John Cena ali onekana bora kuliko Andre the Giant kitu ambacho si kweli ila mmoja anapata advantage ya kura na gap ya vizazi walivo ish
Mkuu uko sawa sawa kweli!!?pele amebakia kama chombo cha propaganda cha fifa, ndio maana hata wakati wa kumchagua mchezaji bora wa karne pele hakupewa, matokeo yake kura akapewa Diego Maradona. Fifa wakaamua kumbeba pele eti wapewe tuzo wote wawili! Kisa Maradona ni mtovu wa nidhamu! Maradona akawaambia fifa hayupo tayari kushea tuzo yake na mtu mwingine. Kwangu mchezaji bora kabisa kupata kutokea duniani ni diego maradona and Leo Messi.
Wacheazaji wote duniani ili wajihisi wamefika level za juu ni kukipiga kwenye klabu mbili bora duniani ambazo ni BARCELONA au REAL MADRID...sasa wewe unataka Messi atoke Barcelona halafu aende wap??? Man U? West Ham? Arsenal? Yeye kashapita zamani levo ya klabu hizi tangu yupo teenager... Ronaldo alitokaan U na kwenda madrid, hii ilikuwa ni kama kupanda daraja kwake! Messi hana pa kwenda...He is too big!!!
Ushahid wako nimeupinga na FIFA walion hloHapa hatuko kwa ajili ya kubishana, kama ni ushahidi nimeshatoa hivyo siwezi rudia tena,
Mkuu uko sawa sawa kweli!!?
Sababu mbona nime zitoa hapo juu yaan una ni quote halaf unaongea vitu vingine
Eb soma vzuri kwa nini nime kitupa kigezo cha kura alafu unijibu, na fifa waliona hvo pia
Si lazima ujibu leo kila hoja kaa hata siku mbili chunguza ndio uje ujibu
Sijawahi kusema maradona si mchezaj mzuri, nakataa tu kuwa hamzidi pele
In that order pele 1, maradona 2
Messi ndo stak hata kuskia akiekwa karbu na hao watu hiyo ni jambo ya ajabu
Alafu
Naina umebaki kusema ukweli ukweliUkweli ndio huo naona unababaika tu baada ya kukuingia ukweli, vile vile hutaki kusikia Mesi akiwekwa karib na King Diego na pere..ukweli utabskia Pale pale utake usitake.tena Pele ndio hagusi kabisaa Kwa Mesi, mcomfirm na iniesta ndio wataendana. Na sio Messi bro
Sibishi, najibuBlack P njoo huku rxfiki yako bado anabisha tu,ππππππ