Three Kenyans arrested in Tanzania for not having visas

Three Kenyans arrested in Tanzania for not having visas

Hii habari imekaa kimahaba na haieleweki, ila ninachokijua ni kwamba kama mwanahabari halafu unakwenda kwenye nchi yoyote yenye ukandamizaji na mapungufu ya demokrasia, lazima uwe makini, hakikisha una makaratasi yote na pia ubalozi wako wanajua uwepo wako. Vinginevyo, wanahabari huwa wanafuatwa sana, hebu jaribu kuingia Korea Kaskazini ndio uone shughuli yake.

Pale Zanzibar kuna matatizo makubwa ambayo yalisababisha hata Tanzania inyimwe misaada kwenye kile kibakuli cha kuombea misaada wao huzungusha kwa wazungu, hivyo mwanahabari wa kigeni kuwa makini, utapotezwa baharini. Ukiingia pale fuata taratibu zote, na kama huzijui, basi kabla hujasafiri wasiliana na wakili wa nchi husika akuweke sawa kwa taarifa zote.
Hakikisha pia una jamaa zako kwenye uhamiaji pande zote mbili ambao mnapigiana simu ili kuwa na uhakika wa kila hatua.
Al-shabab wameharibu kabisa kichwa chako
 
Napenda jinsi Wadanganyika wengi kizungu ni janga la taifa. hawasomi nakala kabla ya kupachika mpurupuko wao kwa JF. hawa maripota kutoka gazeti za kenya walienda semina na visa haitajiki kwenda nchi ya zanzibar kama moja ya nchi za JAM. hawakwenda kuishi hio nch ya kisiwa!!!

Three Kenyan journalists were arrested in Zanzibar on Thursday for not having visas despite the lack of this requirement.

"There is no requirement for visas to Zanzibar," she noted. "We are checking with our teams."
Wewe mpumbavu. Who told you that we are obsessed na kizungu??
By the way are we UK isles?
 
Wewe mpumbavu. Who told you that we are obsessed na kizungu??
By the way are we UK isles?

Povu. uuguzi mauvivu Pole Pole!! Kizungu Ni janga la taifa danganyika na ukweli unauchungu wake kaka!!!
 
Hii habari imekaa kimahaba na haieleweki, ila ninachokijua ni kwamba kama mwanahabari halafu unakwenda kwenye nchi yoyote yenye ukandamizaji na mapungufu ya demokrasia, lazima uwe makini, hakikisha una makaratasi yote na pia ubalozi wako wanajua uwepo wako. Vinginevyo, wanahabari huwa wanafuatwa sana, hebu jaribu kuingia Korea Kaskazini ndio uone shughuli yake.

Pale Zanzibar kuna matatizo makubwa ambayo yalisababisha hata Tanzania inyimwe misaada kwenye kile kibakuli cha kuombea misaada wao huzungusha kwa wazungu, hivyo mwanahabari wa kigeni kuwa makini, utapotezwa baharini. Ukiingia pale fuata taratibu zote, na kama huzijui, basi kabla hujasafiri wasiliana na wakili wa nchi husika akuweke sawa kwa taarifa zote.
Hakikisha pia una jamaa zako kwenye uhamiaji pande zote mbili ambao mnapigiana simu ili kuwa na uhakika wa kila hatua.

MK254,
Umechambua ''mazingira'' ya kwenda nchi yoyote jirani au za mbali vizuri sana na ujitayarishe vipi kama dhumuni lako si utalii bali masuala mengine ambayo yanaweza kuwa halali kabisa lakini ni vyema kuzingatia hali halisi ya nchi husika unayotembelea.

WHY SWEDEN BANNED ALL FLYING WITH UAV CAMERA DRONES! (UPDATED VIDEO AVAILABLE)

Source: BjornRanden
 
Napenda jinsi Wadanganyika wengi kizungu ni janga la taifa. hawasomi nakala kabla ya kupachika mpurupuko wao kwa JF. hawa maripota kutoka gazeti za kenya walienda semina na visa haitajiki kwenda nchi ya zanzibar kama moja ya nchi za JAM. hawakwenda kuishi hio nch ya kisiwa!!!

Three Kenyan journalists were arrested in Zanzibar on Thursday for not having visas despite the lack of this requirement.

"There is no requirement for visas to Zanzibar," she noted. "We are checking with our teams."
4 such swahili n poor words arrangement, probably ua kenyan n no wonder u ended up std 8.
 
Wakenya wamekuwa ni watu wa kulialia mno,
Yaani kama watoto sasa.
Na bado, mtanyooka tu!
UPO SAHH KBSA, wanaume wakicheze kichapo kwa wake zao WANALIA, wakikosa ajira WANALIA et kisa wagen, ukiwaambia mlima kilimanjaro upo tanzania n KILIO, Madactari wasipo ridhka na mishahara yao WANALIA, wakifukuzwa WANALIA, wananchi wakikosa tiba WANALIA, wanaomba madactari wenyewe wakipew WANALIA,mipakan huko wakiambiwa watoe ushuru WANALIA, maofisni huku tz wakiambiwa vyeti WANALIA, uhamiaji wakiwaomba vitambulisho vya kuish kihalali nchini WANALILIA EAC, wanaingiza mifugo kweny mipaka ya Tz wakizuiwa WANALILIA EAC, sasa watanie tuu uwaambie OBAMA sio mkenya wasipo kushushia bendera nusu mlingondi kwa kuomboreza, Hawa jamaa watakua nduguze kitunguu bila shaka.
 
huyu mleta mada watz wenzake walimkana alipoleta ule Uzi wa arusha sio Tanzania,wakasema ni mkenya anachochea kuleta ukabila tz,ila naona hapa mmekubali na kumkenulia meno kisa na maana ameleta mada inayowafurahisha,,kweli nyi ni wanafiki wakubwa
 
Published on 3 Aug 2013
Kenya's First Drone Awaits Civil aviation Authority Approval


Source: KTN News Kenya

Read updates of February 2017 :
Hundreds of drones imported before the approval of the regulations have so far been confiscated by the Kenya Revenue Authority, according to KCAA.
400 feet limit

Civilians are limited to flying drones at a height of not more than 400 feet.

Failure to follow all the rules will attract a maximum of Sh500,000 in fines or a jail term of not more than three months, the proposed regulations state.

The approvals were made by the committee chaired by President Uhuru Kenyatta and comprising all security agencies including the Kenya Defence Forces and Kenya Police Service, who form the National Advisory Committee.

The KCAA drafted the regulations after a series of meetings with wananchi to discuss the draft rules.

KCAA Kenya Approves Drone Regulations - UAS VISION
 
Published on 3 Aug 2013
Kenya's First Drone Awaits Civil aviation Authority Approval


Source: KTN News Kenya

Read updates of February 2017 :
Hundreds of drones imported before the approval of the regulations have so far been confiscated by the Kenya Revenue Authority, according to KCAA.
400 feet limit

Civilians are limited to flying drones at a height of not more than 400 feet.

Failure to follow all the rules will attract a maximum of Sh500,000 in fines or a jail term of not more than three months, the proposed regulations state.

The approvals were made by the committee chaired by President Uhuru Kenyatta and comprising all security agencies including the Kenya Defence Forces and Kenya Police Service, who form the National Advisory Committee.

The KCAA drafted the regulations after a series of meetings with wananchi to discuss the draft rules.

KCAA Kenya Approves Drone Regulations - UAS VISION

The government should be craving for such brilliant minds and their inventions. I mean, he can even make reconnaissance drones for the military and police forces, instead of them having to import.
 
Povu. uuguzi mauvivu Pole Pole!! Kizungu Ni janga la taifa danganyika na ukweli unauchungu wake kaka!!!

Weee shenz yako..... nani kakwambia kuna lugha inaitwa kizungu.

Tena pambaf yako na shangazi yako nani kakwambia Tanzania ni nchi ya kizungu mpaka watu wake wajue kizungu (lugha ambayo haipo popo ulimwenguni).
 
Weee shenz yako..... nani kakwambia kuna lugha inaitwa kizungu.

Tena pambaf yako na shangazi yako nani kakwambia Tanzania ni nchi ya kizungu mpaka watu wake wajue kizungu (lugha ambayo haipo popo ulimwenguni).

More foam kutoka your buggy smelly mouth! Msumari kwa kudonda! Kizungu Ni janga Tanganyika!! Fact upande usipende!
 
More foam kutoka your buggy smelly mouth! Msumari kwa kudonda! Kizungu Ni janga Tanganyika!! Fact upande usipende!

Shenzi yako weye !!!!
Nani anayeongea lugha inayoitwa kizungu??
Pumbaf sana wewe nchi gani inayoitwa Tanganyika??
Nitakuwa nakuita juha shenz na pambaf mpaka unitajie nchi gani inazungumza lugha inayoitwa kizungu.
 
Shenzi yako weye !!!!
Nani anayeongea lugha inayoitwa kizungu??
Pumbaf sana wewe nchi gani inayoitwa Tanganyika??
Nitakuwa nakuita **** shenz na pambaf mpaka unitajie nchi gani inazungumza lugha inayoitwa kizungu.

matusi tumeweka store my friend lakini mjinga kama wewe kutoka tanganyika I cant waste my breath on a loose illiterate cannon kama wewe!! kwa hivyo uwanja ni wako. You can display all the foolishness you want. Kizungu tanganyika ipo historia, ni janga!!
 
matusi tumeweka store my friend lakini mjinga kama wewe kutoka tanganyika I cant waste my breath on a loose illiterate cannon kama wewe!! kwa hivyo uwanja ni wako. You can display all the foolishness you want. Kizungu tanganyika ipo historia, ni janga!!

pumbaf na shenz yako....
kizungu ni lugha inayozungumzwa wapi katika dunia hii??
usipojua kaa kimya, lkn ukiandika hapa bila kujibu swali nitakuita pumbaf na shenz yako!!!!!
 
Back
Top Bottom