Three More Gold Medals For Kenya At Asaba 2018, Nigeria

Three More Gold Medals For Kenya At Asaba 2018, Nigeria

pingli-nywee

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
11,923
Reaction score
13,350
Kenya added four more medals to its medal tally of four gold medals and a silver. It all happened yesterday at the third day of the ongoing African Senior Athletics Championships 2018 in Asaba, Nigeria.
MATTHEW-SAWE.jpg
Mathew Sawe; Gold medal, High Jump.
1432846.jpg
Conseslus Kipruto; Gold medal, 3,000m.
kenyan-winnie-chebet-placed-first-to-clinch-gold-followed-by-silver-picture-id1010450782
Winnie Chebet; Gold medal, 1,500m.
 
..... and another medal, a silver medal by Emmanuel Korir at the 800m race.
wuzxliqgjycgzgdiwqyc
Kenya hoyeeeee!
 
Hiyo wanaweza wakenya Na waethiopia pekee maana they have experience with some terrorist and they can run for days tiresly.
excuses...wakati team USA intuma team nzito ya watu karibia 200 kwenda kushiriki mbio mahali flan hio inamaanisha wanakimbizana na terrorist au?😀😀😀kubali tu tz kwa michezo bado sana..nimewaona ghana, Botswana, Morocco, Misri na SA wako kule Asaba Nigeria wanashiriki..
 
More medals for Kenya.... a 1-2 win by Stacy Ndiwa and Alice Aprot. Gold and silver medals in the womens 10,000m race.
0ec385b0-3fb4-4785-80dd-a84afc933499.jpg
 
Kenya ilipeleka participants 150... 100 wakalala kwa airport for a whole night kwasababu nigeria ilikua hajafanya mipango kabambe...Tz ilipeleka participants 7 walipo kwama kwa airport masaa kadhaa waka amua kurudi nyumbani
what do you expect from the laziest people in east africa?😀😀😀 wanapiga story vijiweni darisalam tu
 
Kenya ilipeleka participants 150... 100 wakalala kwa airport for a whole night kwasababu nigeria ilikua hajafanya mipango kabambe...Tz ilipeleka participants 7 walipo kwama kwa airport masaa kadhaa waka amua kurudi nyumbani
Ulisikia vijisababu walivyopeana. Blah blah nyingi tu mara sijui 'disorganisation' alafu mwishowe wakadhubutu kutaja Boko Haram. Yaani hata wanigeria walipigwa na butwaa, eti Boko Haram!? Kumbe longolongo zote hizo zilikuwa ni kwasababu ya wanariadha saba tu! Hahaha! [emoji1]
 
Back
Top Bottom