so tell us a little about JWTZ since you know alot about jeshi la kenya you must know everything about jeshi la tanzania if not being a five star general there. anyway this is what i gathered from Wikipedia about jeshi la tanzania
ARMY
Much of the inventory is in storage or unreliable.[SUP]
[2][/SUP]
- 5 × infantry brigade
- 1 × tank brigade
- 3 × artillery battalion
- 2 × air defence artillery battalion
- 1 × mortar battalion
- 2 × anti-tank battalion
- 121st Engineer Regiment (battalion size; unit identification from usaraf.army.mil and Flickr)
- 1 × central logistic/support group
Current senior officers include:
AIRWING
A few of the Tanzanian
air wing's transport remain serviceable. However, its
Shenyang F-5s, and
Chengdu F-7s are reported to fly rarely because of airworthiness problems.[SUP]
[3][/SUP] Tanzania's long coastline means that transports are also used for patrol flights.
In Tanzania, early 1980s; Contrary to what is usually reported, Tanzania never purchased any J-7Is from China. Instead, the Jeshi La Wananchi La Tanzania (Tanzanian People's Defence Force Air Wing, TPDF/AW) was given 14 MiG-21MFs and two MiG-21Us by the USSR in 1974. Many of these were lost in different accidents due to the poor training, and two were said to have been lost when their pilots defected. Nevertheless, the few surviving examples took part in the war against Uganda, in 1978-1979, when they saw much action, even if one was shot down in a case of fratricide fire (it was lost to SA-7s fired by Tanzanian troops). The Tanzanian Army captured seven MiG-21MFs and one MiG-21U trainer from the Ugandan Air Force, as well as a considerable amount of spare parts. All of these were flown out to Mwanza AB, to enter service with the TPDF/AW. In 1998, Tanzania purchased four additional MiG-21MFs from the Ukraine, but these were reportedly in a very poor shape, and not used very often. Meanwhile, in 1980, an order for 10 F-7Bs and two TF-7s was issued to China, and in 1997 also two F-7Ns were purchased from Iran, together with four ex-Iraqi Air Force transports of an unknown type. Today, no Russian-supplied MiG-21s remain in service with the TPDF/AW, and only three or four F-7s remain operational. The TPDF/AW MiG-21MFs are now confirmed to have carried serials - in black or green - underneath the cockpit, but no details about these are known
NOW SURELY DOES TZ HAVE A SINGLE FIGHTER ???
NAVAL
The navy operates 7 fast attack
craft and 12 patrol boats.
The current
Commander of the Naval Command: is Rear Admiral (Maj Gen) SS Omar.
Tanzania People's Defence Force - Wikipedia, the free encyclopedia
Nimekwisha kwambia uwezo wako wa ku-analyse mambo huko
equivalent to a toddler's!!! Angalia wenzako (
sijuhi kama hata nikuite Mkenya au Mtanzania maanake wewe ni kigeu gue kama kinyonga). Jaribu kuangalia Wakenya wanao tafakali mambo kwa kina, wenye akili za kiutu uzima na wasomi/weledi wanavyo eleza maoni yao kuhusu suala zima la ajali, vile vile walivyo wekea maanani suala la usalama kuhusu Taifa lao, mtu ukisoma maoni yao unawaelewa. Wewe ni tofauti kabisa
you are just a clown, wala hujuhi kinacho
zungumziwa hapa! Unarukia mambo tu sijuhi unataka ku-prove nini, unapokwama unaishia kutukana WATU! - wachie wenzako wenye uelewa WAZUNGUNZE. Haya mambo ya kuandika/kutaja majina ya makamanda wa jeshi la JWTZ lina mantiki gani hapa! - yaani unachofanya ni kucopy na ku-paste bila ya kuchambanua uchukue lipi ache lipi katika uchambuzi wako, ujuhi kwamba taarifa nyingine zilizo andikwa kwenye wikipedia ni zakubuni tu wakati mwingine!! - Ukosefu wako wa ku-analyse na ku-digest mambo si wakawawida, tatizo hili liko-more pronounced kwa binadamu anaye tumia a left and right hemisphere za Brain yake
at a GO.
Kila binadamu his/her
maker amemjalia kiasi fulani cha talent, wewe naona Mungu wako alikupa kipaji cha
maigizo/vichekesho - see,
you are very good at pretending! unajitia ku-
shade crocodile tears hapa, unajifanya
Mkatoliki kuliko
PAPA au
Mwislaam kuliko
mtume Mohammed S.A.W - ninacho taka kusema hapa ni kwamba wewe huna uchungu wowote wa kweli kuhusu nchi yoyote hapa barani Africa si Tanzania wala Kenya, nimekwisha sema humu wewe ni mbaguzi wa rangi uliye
KUBUHU, narudia MBAGUZI WA RANGI oh yes,
a RACIST BASTARD - unaona watu weusi ni takataka kwako, nina ushadi wa ku-prove hivyo nimeuweka ready to spring muda si mrefu-I will expose your
TRUE COLOUR, ushahidi huo ntauweka humu alafu tuone sura yako utaificha wapi au utarudi tena
Dodoma Tanzania kwa
wazazi/Wajomba zako alafu udahi wewe si Mkenya bali Mtanzania!! (Je na hiyo nimeitoa kwenye wikipedia?? unafikili hatukujuhi!!)
Nakushauri kwa nia nzuri tu, kwamba uache kuwahadaa/kuwadanganya ndugu zetu wa Kenya-we kwa akili zako unafikili tunapo bishana nao kwenye masuala fulani kwa akili zako finyu unaona basi tuna Ugomvi nao au ushindani wa aina fulani!!
Ujinga ni mzigo sana, umekazania ooh, umepata taarifa kutoka Wikipedia X3, nani kakwambia kwamba source ya kupata taarifa lazima zinapatikane kutoka Wikipedia peke yake na siyo kutoka kwenye
open source nyingine, au njia mbadala mbona ni nyingi tu akili kichwani mwako, usifikili kila mtu akili zake ziko kwenye
chicken masala au
Tandoori Chicken (Tandoori Murghi) kama wewe.
Mwisho nimalizie kwa kuonyesha wana JF baadhi ya
maajabu yako
:La kwaza - Siku moja kuna mwana JF mwenzetu kutoka Kenya aliwahi kukuonya kwamba ujaribu
ku-mind your tongue kutokan a na maneno ambayo ulikuwa unabwabwaja humu bila mpangilio, alisema unayo yasema humu ni ya kwako lakini Wakenya wengi awakubaliani na mbinu zako hizo!
:La pili - kuna siku tena ulianza mambo yako ya
kitoto ukajibizana jibizana na
a none nonsence MOD, alipo kupa vidonge vyako ukagwaya na kumwambia eti ungependa umpe
DADA yako!!! i.e awe Shemeji yako, sina shaka unakumbuka alivyo kujibu
:La tatu-juzi juzi hapa niliona mwana JF kutoka Kenya anakupa onyo kali kwamba ume-copy post yake ukajifanya niya kwako, sijuhi mlimalizana vipi?
:La nne-hili ndilo linathibitisha kwa asili mia mia kwamba wewe ni mjinga kupindukia, aliandika juzi kwamba" Watu wa Kenya wana IQ kubwa sana kuliko Watanzania! hivi unajuwa maana ya IQ ni nini? wewe kwa mawazo yako unafikili IQ inakuwa acquired na siyo ya kuzaliwa nayo/kurithi(inherited)
Kuna mifano mingi tu lakini kwa leo naishia hapa nikiwa na imani kwamba uta-
grow UP na kuanza kuzungumza vitu mbavyo viko coherent.