Mtoto Sonia mimi nimekuzimia...
Katika kukupenda mimi nimeonesha nia.
Sooonia (oooh sonia) mi nakupendaaa.
Huujui huu wimbo mumy? Mimi huniambii kitu kuhusu pini za enzi hizo..
Si unajua akili za kitoto tena?
Kitu hakibanduki akilini.
Ulisema huijui hii ngoma ndio maana nikakuandikia na kiji chorus chake kabisa.We, huo tena!
Mimi nilikua nawapenda WACHUJA NAFAKA kiujumla sijui walifia wapi.
Umesema kweli tupu... ngumu sana kurudi kwenye same level... dah, nimei-miss sana rap katuni... kama sio mtu wa skani, unaweza kusikiliza verse mzima na usielewe kitu!Fela anataka kujaribu kumrudisha ila haiwezi kuwa kama kipindi hicho wakati wake ushapita. Ingekuwa rahisi kiivyo watu wangepigana Kibra arudi.
Ulisema huijui hii ngoma ndio maana nikakuandikia na kiji chorus chake kabisa.
Yeah, wachuja nafaka walikua noma sana.
Usitake nikumbuke mzee wa busara. ..ayayayayaaaa
Album yake ya UGALI inatoka nilikuwa advance.., kuna ngoma kali mle, ila ilonikamata enzi hzo ni "kisa dem" , huh P funk alinyonga biti mule.
Umesema kweli tupu... ngumu sana kurudi kwenye same level... dah, nimei-miss sana rap katuni... kama sio mtu wa skani, unaweza kusikiliza verse mzima na usielewe kitu!
Sure... hapa Nature, kule Majani ndo wanapatiana hawa; ukiwaunganisha na Inspekta hapo, we bwana eh... sipati picha ingawaje ni kama inabidi tu kubali kwamba zile flavor hazitatokea tena!Awarudishe Necha na Inspecta kama anaweza, rap katun kings. Ila kumbuka ukitaka umrudishe Necha inabidi umtafute na Majani, sio uende kwa kina shedy clever
Sure... hapa Nature, kule Majani ndo wanapatiana hawa; ukiwaunganisha na Inspekta hapo, we bwana eh... sipati picha ingawaje ni kama inabidi tu kubali kwamba zile flavor hazitatokea tena!
Mwenye ngoma ya wachuja nafaka inaitwa wachuja nafaka naomba ai upload hapa. Nimeitafuta kinoma