Kaka hata akiwa mdogo kwa umri always he is big brother watching uHahahahaaa usinistaajabishe bana.... nnavopenda ukubwa, ntabishana na wewe hadi asubuhi kuwa mie ndo big sis wako.... wewe ni young bro wangu hata ikibidi useme tuweke passport au driving licence ntaweka kukuhakikishia hahahahaa.
Few months ago hii track ilikuwa simbua viwanjani
Kaka hata akiwa mdogo kwa umri always he is big brother watching u
Ha ha ha najaribu kukumbuka demu wa utotoni ambae kaka zake walikuwa wababeWoow..... umenifanya nikumbuke pale kaka zangu wa kuzaliwa wanaponifariji na kunipa kumbato la faraja ..... "sisi atayekuumiza huyo no halali yetu. Halafu kaka zangu ni wababe hatari... nimemiss maisha tuliyoishi wakati tuko kwa wazazi.
Ha ha ha najaribu kukumbuka demu wa utotoni ambae kaka zake walikuwa wababe
Huhuhuhu ndio mkuuWewe ni mhenga kiasi hicho?
Uhenga shida wala sijui kuwa kuna watu wanatoa album
Yeahh nimekuwa nikizisikia wakati nakua kuaNa wewe unazijua hizi?
haswaaaYeah.... The time when music was on the peak
hahaha hii ya maSenior wahenga [emoji28][emoji23][emoji23]
Jr Friday[emoji126]
Huhuhu kama mimi[emoji28]hahaha hii ya maSenior wahenga [emoji28][emoji23][emoji23]