Throwback Thursday...

Throwback Thursday...

Mwaliko upo au ni kama kule ikungu la bashashi tunajisogeza tu baadae. Kwa bata hauna mpinzani.

RRONDO yuko sahihi, likija suala la kutumbua raha, unalipa uzito unaostahili. Hata hivyo tunaishi sasa, kufurahia maisha muhimu.

Hapo huwezi tu kujisogeza aisee. Kuna geti, kuna mbwa, kuna ulinzi pia! Wahitaji mwenyeji hapo!

33F6DF47-B06C-47D5-A086-DD4401C2C23F.jpeg
 
Hivi Sam, huu usemi wako unausema zaidi ya mara mbili sasa nakusikia. Uko sirias kweli niufanyue kazi au ni masikhara?

Masikhara na wewe yameanza lini Kasie? Ntakusubiria tu ukishamaliza harakati zoooote, tutulie tufurahie maisha.

Nikutakie weekiend na Pasaka njema.
 
Masikhara na wewe yameanza lini Kasie? Ntakusubiria tu ukishamaliza harakati zoooote, tutulie tufurahie maisha.

Nikutakie weekiend na Pasaka njema.

Asante sana Pasaka njema kwako pia.

Basi kuanzia sasa wacha niuafanyie kazi usemi wako.
 
Asante sana Pasaka njema kwako pia.

Basi kuanzia sasa wacha niuafanyie kazi usemi wako.

Nashukuru sana, Pasaka hii najua uko na yule mtu wako mie sitii neno. Ndio maana nikasema ukishamaliza mambo yooote, njoo tutulie wote.
 
Im a big brother...just watching u

Hahahahaaa usinistaajabishe bana.... nnavopenda ukubwa, ntabishana na wewe hadi asubuhi kuwa mie ndo big sis wako.... wewe ni young bro wangu hata ikibidi useme tuweke passport au driving licence ntaweka kukuhakikishia hahahahaa.
 
Back
Top Bottom