Mkandarasmi Member Joined Jan 23, 2020 Posts 7 Reaction score 10 Jan 23, 2020 #1 Waungwana, kuna nyimbo ya zamani kidogo yenye baadhi ya lyrics hizi "Niwe nawe, Niwe nawee, penzi lako la thamani, lenye wingi wa nahau" Anayeufahamu au details za jina la msanii na jina la wimbo, au kama anao naomba anisaidie tafadhali.!
Waungwana, kuna nyimbo ya zamani kidogo yenye baadhi ya lyrics hizi "Niwe nawe, Niwe nawee, penzi lako la thamani, lenye wingi wa nahau" Anayeufahamu au details za jina la msanii na jina la wimbo, au kama anao naomba anisaidie tafadhali.!
ROGATH MCHAU JF-Expert Member Joined Jan 17, 2017 Posts 569 Reaction score 1,009 Jan 25, 2020 #2 Mkandarasmi said: Waungwana, kuna nyimbo ya zamani kidogo yenye baadhi ya lyrics hizi "Niwe nawe, Niwe nawee, penzi lako la thamani, lenye wingi wa nahau" Anayeufahamu au details za jina la msanii na jina la wimbo, au kama anao naomba anisaidie tafadhali.! Click to expand... HUO WIMBO NI WA KUNDI LA B LOVE M Sent using Jamii Forums mobile app
Mkandarasmi said: Waungwana, kuna nyimbo ya zamani kidogo yenye baadhi ya lyrics hizi "Niwe nawe, Niwe nawee, penzi lako la thamani, lenye wingi wa nahau" Anayeufahamu au details za jina la msanii na jina la wimbo, au kama anao naomba anisaidie tafadhali.! Click to expand... HUO WIMBO NI WA KUNDI LA B LOVE M Sent using Jamii Forums mobile app
TAI DUME JF-Expert Member Joined Feb 20, 2014 Posts 9,748 Reaction score 26,238 Jan 25, 2020 #3 Banana loves Masiga, B Loves M. Niwe nawe, mwaka 2000 before kundi halihavunjika. Badae banana akatoa nyimbo inaitwa "mama".
Banana loves Masiga, B Loves M. Niwe nawe, mwaka 2000 before kundi halihavunjika. Badae banana akatoa nyimbo inaitwa "mama".
Mkandarasmi Member Joined Jan 23, 2020 Posts 7 Reaction score 10 Feb 1, 2020 Thread starter #4 Najaribu kuutafuta lakini haupatikani kwenye digital platforms. Aliyehao anisaidie tafadhali.!
B bantualec Member Joined Jan 23, 2016 Posts 6 Reaction score 0 Feb 27, 2024 #5 Nadhani wimbo sio wa akina Banana but ni Ismail na King Charlz wakijiita Soul n Faith enzi hizo.. Niwe Nawe
Nadhani wimbo sio wa akina Banana but ni Ismail na King Charlz wakijiita Soul n Faith enzi hizo.. Niwe Nawe