Mkandarasmi
Member
- Jan 23, 2020
- 7
- 10
Waungwana, kuna nyimbo ya zamani kidogo yenye baadhi ya lyrics hizi
"Niwe nawe, Niwe nawee, penzi lako la thamani, lenye wingi wa nahau"
Anayeufahamu au details za jina la msanii na jina la wimbo, au kama anao naomba anisaidie tafadhali.!
"Niwe nawe, Niwe nawee, penzi lako la thamani, lenye wingi wa nahau"
Anayeufahamu au details za jina la msanii na jina la wimbo, au kama anao naomba anisaidie tafadhali.!