TIA, IAA and MUCCOBS 2012-2013 Undergraduate Selections

TIA, IAA and MUCCOBS 2012-2013 Undergraduate Selections

kaka acha masihara za undergraduate TIA hawajatoa msiwape watu presha
 
Niliweka pamoja kwasababu kuna watu wanazihitaji samahani kwa usumbufu wakuu
 
mimi nimechaguliwa muccobs kakaaaaaaaaaa mwenye info za huko atupe kakaaaa

karibu Muccobs hapa msuli kwenda mbele principle za sua znapply pass mark above 50..therefore msuli kwa saana unahtajika.
 
mimi nimechaguliwa muccobs kakaaaaaaaaaa mwenye info za huko atupe kakaaaa

we dogo pale pa ukweli kiana !! Lakn mademu wenu wengi wanamengwa na makuruta and madogo wa old moshi na majengo
 
we dogo pale pa ukweli kiana !! Lakn mademu wenu wengi wanamengwa na makuruta and madogo wa old moshi na majengo

Heh, basi kuna balaa afu mpigamsulia akapige msuli asije akarudi home
 
mimi nimechaguliwa muccobs kakaaaaaaaaaa mwenye info za huko atupe kakaaaa

kaka mbona za muccobs nimecheck certificate,diploma & postgraduate undergraduate zijaziona au niaje?
 
Wakubwa mwenye nazo tafadhali 2pia humu wengne cm hazina pdf,2saidiane pls (MUCCOBS)
 
oya wadau naombeni mnichekie hili jina jackline mtungi kwenye human resource pamoja and bachlr of economic devlpmnt
 
Back
Top Bottom