chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
- Thread starter
-
- #41
Huo utaratibu hata Dr Mabula kaukuta.
Fikiria kama GT unafikiri huo utaratibu umewekwa na mkuu wa chuo Dr Mabula au bodi ya chuo chini ya Prof Jairo?
Unafahamu kabisa tabia zetu wa wanachuo wa Tz, unadhani ukiruhusu mtu afanye mtihani bila kulipa kutakuwa na "uncollected fee" kubwa kiasi gani. Kwa taarifa yako asilimia kubwa ya ambao hawalipi ada si watoto wa masikini kama unavyosema
Huo ni mtazamo wako....
Tz ikiwa maskini mlengwa ni JK tu....period
Watanzania kama tumeamua maisha yawe ivo its OK..........
Mie ni mtoto Wa maskini nmesoma kwa kuunga unga mpaka nmemaliza digrii na sasa nafanya Master's
Iyo Shida sio yangu zen my family amebakia Mdogo wangu wa mwisho ambaye yupo MD peramiho SAUT
Nilikuwa naongea kutokana na Hawa vijana hapa mtaani Kurasini walikuwa wanalalamika zen ikanigusa ndio nkaiwasilisha.