chuma cha reli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 2,764
- 2,559
Huu utaratibu ulianzishwa na huyu CEO mpya Dr.Joseph Mabula Kihanda sio mzuri na sio wa kitanzania,tunajua kabisa asilimia Kubwa ya watanzania ni masikini bila kujali itikadi zao lakini huyu bwana kaleta utaratibu eti kama ujamaliza kulipa ada hurusiwi kufanya mitihani ya semister
Chuo ambacho kiko chini ya mamlaka za serikali kinakuwaje na habari za kihafidhina kama izo badala ya kuwaacha watu wafanye mtihani kwanza ili baadaye kwenye final or last year ndio wawabane ye analeta habari zake za porini huko....
kuna wanafunzi naishi nao hapa mtaani wanalalamika tabia za ajabu na mbovu anazozionyesha hapo chuoni...
Hivi mamlaka zinazohusika zinalijua suala hili Mr.Azizi Kifile muwe mnamshauri huyu mtu anachofanya ni kurudisha maendeleo nyuma.
Wanafunzi Wa TIA hiyo TIASO kazi yake nini au ndio kula pesa za mabashi tu na kunywa pombe...Bob Marley aliwai kuimba #stand_up_for_your_right
Njia sahihi ya kuonyesha kilio chenu ni kujioganize na kuandamana mpaka kwenye ofisi zake ili dunia ijue Dr.Mabula ni mtu hatari wa kuepukwa.
Chuo ambacho kiko chini ya mamlaka za serikali kinakuwaje na habari za kihafidhina kama izo badala ya kuwaacha watu wafanye mtihani kwanza ili baadaye kwenye final or last year ndio wawabane ye analeta habari zake za porini huko....
kuna wanafunzi naishi nao hapa mtaani wanalalamika tabia za ajabu na mbovu anazozionyesha hapo chuoni...
Hivi mamlaka zinazohusika zinalijua suala hili Mr.Azizi Kifile muwe mnamshauri huyu mtu anachofanya ni kurudisha maendeleo nyuma.
Wanafunzi Wa TIA hiyo TIASO kazi yake nini au ndio kula pesa za mabashi tu na kunywa pombe...Bob Marley aliwai kuimba #stand_up_for_your_right
Njia sahihi ya kuonyesha kilio chenu ni kujioganize na kuandamana mpaka kwenye ofisi zake ili dunia ijue Dr.Mabula ni mtu hatari wa kuepukwa.