Afu DJ naomba utupe ratiba ya interview zako kama tulivozoea zamani it was jumamos.. Ili tutune mind zetu. Habari za kushtukiza hizi sio njema kabisa unaeza kuta muda wa interview umegogana na ligi nyingine huko??? Kama saizi watu wengi wapo hukooo [emoji117] [emoji117] [emoji117]
Natafuta mume
Cc Smart911
utaangalia marudio tumeshalipia airtimeJamani jamani puliiiiiiiiiiiiiizzzzzzzz naomba mpostpone hata badae sambili jamani sahivi huko mambo ni motoooo... Ni Ombi tu lakini.. Mi narudi huko see you leitaaaaaa [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Cc Smart911
utaangalia marudio tumeshalipia airtimeJamani jamani puliiiiiiiiiiiiiizzzzzzzz naomba mpostpone hata badae sambili jamani sahivi huko mambo ni motoooo... Ni Ombi tu lakini.. Mi narudi huko see you leitaaaaaa [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Cc Smart911
[emoji3] [emoji3] [emoji1] eti unamuonaje Numbisa.
sawa mkuwbwa well notedUwe una like post kabla ya kujibu ili twende sawa!
Mimi naitwa babu ODMNieleze kidogo kuhusu wewe;
Elimu,familia na kazi
Ngoja nianze kuvamia pm za wadada singo... Ntaleta mrejesho mkuu
Duhhh basi mororo mkuu ntakua naenda na kurudi naona ndo alichotufanyia DJ leo. Kweli men hamnaga muda wa kusubiri subiri.. Angekuwa mrembo hapa najua mwenyewe mida hii angekua anakula ubuyu kule.. DJ angechomeshwa mahindi...utaangalia marudio tumeshalipia airtime
mimi ni kijana wa kitanzania upende wa kaskazini, miaka 25-30, ni Ba udsm ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na pia nimejiajiri kwenye kilimo, kuhusu familia ndiyo najipanga kimaisha ili niweze kumvuta mama watotoNieleze kidogo kuhusu wewe;
Elimu,familia na kazi
Doh [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Acha ukorofi..
Warembo Wa jf Kazi kwenu[emoji23] [emoji23]mimi ni kijana wa kitanzania upende wa kaskazini, miaka 25-30, ni Ba udsm ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na pia nimejiajiri kwenye kilimo, kuhusu familia ndiyo najipanga kimaisha ili niweze kumvuta mama watoto
Bado sina mchumba kwa sasa nipo singleWarembo Wa jf Kazi kwenu[emoji23] [emoji23]
Una mchumba unayetegemea kumuoa