Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mtandao wa Tigo unaupromote au nini Mkuu?Prediction ya maswali....
Tiassa ni mtu wa aina gani?
Magufuli au Lowassa?
Chura au flat screen?
Ushawahi kutumia mtandao wa Tigo?
Kwanini ulijiunga JF?
Fursa hiziiii. DJ tag watu wakuje changamkia tehtehteh[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]mimi ni kijana wa kitanzania upende wa kaskazini, miaka 25-30, ni Ba udsm ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na pia nimejiajiri kwenye kilimo, kuhusu familia ndiyo najipanga kimaisha ili niweze kumvuta mama watoto
Kipato ni nacho save nisingependa kukiweka wazi kwa sasa ila maisha siyo mabayaSawa wamekusikia!
Kipato chako kwa mwezi una save kiasi gani!
ndiyoSo una drive mzeya [emoji23] [emoji23]
Unataka mchumba wako awe na muonekano gani!
Tabia je
Unawachukuliaje watu ambao hawawezi kukufanyia jambo lolote,wasio na msaada kwako!ndiyo
Mchumba ni nayemtaka awe mrefu, asiwe mweusi sana, awe ni mtu anayependa Maendeleo,Ambaye tutasaidiana naye kwenye maisha, Awe mwenye busara na tabia njema na pia awe mkristo
nawachukulia poa tu wasio na msaada kwangu na mimi pia vilevile sina msaada kwo kwahiyo ngoma drooUnawachukuliaje watu ambao hawawezi kukufanyia jambo lolote,wasio na msaada kwako!
Hapana mkuuUshawahi kupigana kwa ajili ya mapenzi
Nayeye anadrive kama ulivyokuwa unadrive siku ileeeSo una drive mzeya [emoji23] [emoji23]
Unataka mchumba wako awe na muonekano gani!
Tabia je